reginahope
Senior Member
- Mar 26, 2013
- 163
- 30
habarini wanajamvi. jamani naombeni mwenye kufahamu vizuri biashara hii ipo vipi. binafsi sifahamu imekaa vp ila natamani sn kufanya biashara ya kununua dhahabu kwenye migodi hapa tz na kwenda kuuza nairobi kwani nimesikia soko ni zuri huko. kwa mwenye ufahamu naomba msaada na jinsi ya kuyatofautisha original na fake. natanguliza shukrani zangu