Zipo nyingi mkuu Ungeweka aina unayohitaji kama ni Hizi za Screen Printing(hapa pia Kuna Manual & Auto), Embroider, HeatPres, DTG au DTFNaomba kuuliza bei ya t shirt printing machine zinaendaje sokoni na zinapatikana wapi
Zipo nyingi mkuu Ungeweka aina unayohitaji kama ni Hizi za Screen Printing(hapa pia Kuna Manual & Auto), Embroider, HeatPres, DTG au DTFNaomba kuuliza bei ya t shirt printing machine zinaendaje sokoni na zinapatikana wapi
Tshirt Printing inafanyika kwa Njia/Methods nyingi.Naomba kuuliza bei ya t shirt printing machine zinaendaje sokoni na zinapatikana wapi
Zipo hapa mjini na unaweza agiza.Naomba kuuliza bei ya t shirt printing machine zinaendaje sokoni na zinapatikana wapi
Tshirt Printing inafanyika kwa Njia/Methods nyingi.
Kwa kuanza kabisa kuna njia hizi hapa mbili
1. Screen Printing: Hii ni njia bora kabisa ya kuprint Tshirt, Huhitaji machine kwa kazi rahisi za kawaida ambazo ndizo nyingi mtaani. Unahitaji kujifunza namna ya kutengeneza screen na namna ya kuprint tu. Kwa kazi hasa zenye rangi nyingi au zinazolazimu kuprint full color hapo ndipo unahitaji machine. Machine zinauzwa za kutoka nje, lakini pia namfahamu mtu mmoja Sido DSM Vingunguti anatengeneza na kuziuza.
2. Heat Transfer Printing: Hii unahitaji machine, mfano wa kazi zake ni kama zile Tshirt za msiba n.k. Machine hizi zinapatikana madukani na zipo zinazofanya mambo mengi pia kama kuprint vikombe, kofia, sahani n.k
Inatakiwa uwe a one stop solution for packaging kwa wajasiliamali,ili utengeneze pesa chap chap.
Nipe umarket manager tutengeeze faranga,,Nina uzoefu wa kufanyia Apple enzi za job lusinde,,,ooh,,namanisha Steve job,
L805Mkuu mashine kama Epson L805 unaweza kuprint kwenye T-shirt na Vikombe pamoja na CD? na kama hapana ni mashine ya aina gani ya bei ya afadhali naweza kufanikisha kufanya huduma hizo?
Asante mkuuTshirt Printing inafanyika kwa Njia/Methods nyingi.
Kwa kuanza kabisa kuna njia hizi hapa mbili
1. Screen Printing: Hii ni njia bora kabisa ya kuprint Tshirt, Huhitaji machine kwa kazi rahisi za kawaida ambazo ndizo nyingi mtaani. Unahitaji kujifunza namna ya kutengeneza screen na namna ya kuprint tu. Kwa kazi hasa zenye rangi nyingi au zinazolazimu kuprint full color hapo ndipo unahitaji machine. Machine zinauzwa za kutoka nje, lakini pia namfahamu mtu mmoja Sido DSM Vingunguti anatengeneza na kuziuza.
2. Heat Transfer Printing: Hii unahitaji machine, mfano wa kazi zake ni kama zile Tshirt za msiba n.k. Machine hizi zinapatikana madukani na zipo zinazofanya mambo mengi pia kama kuprint vikombe, kofia, sahani n.k
Asante mkuuZipo hapa mjini na unaweza agiza.
Printing machine bei zinaanzia laki sita mpaka milioni.
Na ndivyo printer vile vile.
Ipi ni bora na inaenda kwa bei ganiZipo hapa mjini na unaweza agiza.
Printing machine bei zinaanzia laki sita mpaka milioni.
Na ndivyo printer vile vile.