jamaa linaweza kupanda dau kubwa mara 2 ya mtaji uliyowekeza lakini linakutaka wewe tajiri hapo vipi? Hebu muogope mungu wa mababu zako,na hata mila na desturi zetu waafrika haziruusu hiyo biashara. Kama unamtaji wa kutosha nenda kwa Kameruni,kwani wewe ni mfuasi wake na utuondolee huo upuuzi hapa.