jooohs
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 2,057
- 8,558
Ndugu wana JamiiForums nimekuja kwa mara nyingine kuomba ushauri kuhusiana na biashara ya bucha. Huu mwaka ni mpango wangu wa kuongeza biashara nyingine ili kukabiliana na ukali wa maisha.
Ukiachilia mbali biashara ya nafaka ambayo hadi muda huu nakomaa nayo wazo la kwanza nililokuwa nalo ni kufungua biashara ya bucha, upande mmoja ni dili na samaki upande mmoja niweke nyama na kuku kidogo. Niliopanga kuweka ni 5-7 millioni
Jee kwa muenendo wa hiyo biashara inaweza kunilipa maana sina uzoefu nayo kabisa, naombeni ushauri nisije fukia pesa au nikala hasara, namna ya kuendesha hiyo biashara kwa faida, na jinsi ya kukabiliana na changamoto zake.
Ukiachilia mbali biashara ya nafaka ambayo hadi muda huu nakomaa nayo wazo la kwanza nililokuwa nalo ni kufungua biashara ya bucha, upande mmoja ni dili na samaki upande mmoja niweke nyama na kuku kidogo. Niliopanga kuweka ni 5-7 millioni
Jee kwa muenendo wa hiyo biashara inaweza kunilipa maana sina uzoefu nayo kabisa, naombeni ushauri nisije fukia pesa au nikala hasara, namna ya kuendesha hiyo biashara kwa faida, na jinsi ya kukabiliana na changamoto zake.