Nimejikusanyia ka pesa ka boom kwa miaka miwili sasa, nimepata 1, 400, 000. Nafikiri kununua boda halafu nimwachie mtu aendeshe ili jioni aniletee hesabu!
Hivi bodaboda itanilipa kweli? Na je, nikifanikisha itanibdi nipokee kiasi kipi kwa siku? Mwanachuo UDSM.
Nawasilisha!;
Hivi bodaboda itanilipa kweli? Na je, nikifanikisha itanibdi nipokee kiasi kipi kwa siku? Mwanachuo UDSM.
Nawasilisha!;