thomas barbona
Member
- Dec 2, 2013
- 25
- 17
Nimejikusanyia ka pesa ka boom kwa miaka miwili sasa, nimepata 1, 400, 000. Nafikiri kununua boda halafu nimwachie mtu aendeshe ili jioni aniletee hesabu!
Hivi bodaboda itanilipa kweli? Na je, nikifanikisha itanibdi nipokee kiasi kipi kwa siku? Mwanachu
Mm binafsi sikushauri ufanye biashara yoyote ambayo huna uwezo wa kucontror lasilimali zake especially boda boda, kumcontrol deleva ni tatizo kubwa sana ukiweza kucontror bas ni njia nzur ya kupata kipato,, ila hela ya boda boda si ya kufanyia matumizi, ili uione pesa yako ni lazma uiweke au ufanye shughuli maalumu itakayofanya hela ionekane... anaekwambia biashara ya boda boda ni mbaya si kweli ila ni very riskyFanya biashara kijna hela hiyo kubwa sana unaweza fanya kitu Cha maaana zaidiii ya hicho