Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,188
Habari zenu wadau,
Nafikiria kufungua biashara ya kutengeneza bisi (popcorn), kwa upande wangu naiona ni biashara rahisi na haitahitaji mtaji mkubwa.
Kuhusu sehemu ya kufanyia si tatizo na biashara yangu nishajua watu wa kuwa-target.
Kwa ambaye anaijua vizuri hii biashara naomba mawazo yake.
Ahsanteni na mbarikiwe sana.
Nafikiria kufungua biashara ya kutengeneza bisi (popcorn), kwa upande wangu naiona ni biashara rahisi na haitahitaji mtaji mkubwa.
Kuhusu sehemu ya kufanyia si tatizo na biashara yangu nishajua watu wa kuwa-target.
Kwa ambaye anaijua vizuri hii biashara naomba mawazo yake.
Ahsanteni na mbarikiwe sana.