Jstar1
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 1,389
- 1,337
Biashara ni ngumu hasa usiposimamia mwenyewe.
Kuna rafiki yangu wa karibu nlkua natamani nipate sehemu nzuri nimuweke kwa ajili ya ufugaji jambo ambalo lingekamilika mwaka huu.
Cha kushanganza kabla ya huko nmemuweka asimamia kitu sehemu ndogo tu, kanidanganya bei ya misumari, badala ya elfu 3500 kanunua kwa 5000 na ndo nilimuamini.
Ila ameshajiharibia uamnifu, nitamwambia!
Kuna rafiki yangu wa karibu nlkua natamani nipate sehemu nzuri nimuweke kwa ajili ya ufugaji jambo ambalo lingekamilika mwaka huu.
Cha kushanganza kabla ya huko nmemuweka asimamia kitu sehemu ndogo tu, kanidanganya bei ya misumari, badala ya elfu 3500 kanunua kwa 5000 na ndo nilimuamini.
Ila ameshajiharibia uamnifu, nitamwambia!