Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,052
- 24,442
Wewe utakuwa huyo mkuu was mkoa au mke wake
Hapo nililenga kumquote mwingine, sikukulenga wewe! Ungeuliza tu kwamba kama nilikulenga wewe ama lah!
Wewe utakuwa huyo mkuu was mkoa au mke wake
Zile Hela ziliahidiwa na RC Hapi ila zikiwa zinatokea Mfukoni mwa GSM na asikudanganye Mtu Hela ya Rais Samia ( ya Hazina Serikalini ) haichezewi hivyo na Mtu kama Ally Hapi anajua fika kuwa Bi. Hangaya hamkubali na anamtafutia tu Kosa ili nae 'amlime' kama alivyofanya kwa Yule wa Mbeya kisha akahamishiwa Mwanza ambaye alikuwa 'akimvizia' Siku nyingi tu kwakuwa nae alikuwa ni 'Team Mkemia wa COET UDSM' aliyeondoka ghafla Ulimwenguni.
Mkuu ebu tumilia akili japo kidogo ! Kazi ya refa uwanjani ni nini? .Refa anatoa maamzi/hukumu pale kosa linapokuwa limetendeka na kosa likishatendeka tayari madhara kama yapo yanakuwa yashatendeka..! Au unahishi refa ni mtabili kwamba mchezaji flani atacheza rafu kwahiyo nimuonye mapema..!!?Wachezaji wenyewe legelege wale ulitaka wasiumie
Kwamba huo mchezo haukuwa na refa watu wanaumizwa makusudi refa amekaa tu
Acheni lawama za kitoto toto, wawa huwa anawachezea hovyo wenzake (tena makusudi) na TFF na marefa hukaa kimya nani amewah lalamika
Wajengeni wachezaji wenu wawe na stamina sio vile wachezaji laini hata wapemba Wana nafuu
alitoa majibu ya kipuuzi sana,badala angetumia fursa hiyo kuhamasisha matajiri. CCM ni CCm tuEfm walimuuliza kuhusu kuisaidia biashara akadai hawezi kutoa pesa za mshahara wake tayari keshajiumbua ile ahadi haikuwa yake Bali gsm ila ushabiki wake maandazi kwa biashara unaweza kuiharibu timu badala ya kuisaidia
Natumia akili sana kuwaza unavyo lalama wakati refa yupo zingekuwa ni rafu za kuumiza kama msemavyo kungekuwa na Kadi za njano 5+, nyekundu 3+ (kwa maana mchezo ulikuwa na rafu nyingi fanya kuleta takwimu za mchezo huoMkuu ebu tumilia akili japo kidogo ! Kazi ya refa uwanjani ni nini? .Refa anatoa maamzi/hukumu pale kosa linapokuwa limetendeka na kosa likishatendeka tayari madhara kama yapo yanakuwa yashatendeka..! Au unahishi refa ni mtabili kwamba mchezaji flani atacheza rafu kwahiyo nimuonye mapema..!!?
Mkuu wa mkoa wapi ushuziii tu yul3.
Akipewa pesa na GsM
Haka kajamaa kalisoma St .Augustino ,chuo flan hivi hivyo hakaijui COET.COET Udsm hakuna hicho kitu! Na wala huyo mkemia unayesema alitoweka ulimwenguni hajawahi kusomea hicho kitu COET kwa kuwa hakipo!
Wewe utakuwa ulihadithiwa tu! Huyo labda alikuwa akienda ile Cafteria kupata RB tu!!
Samahani hata Mimi nilishangaa naifuta postHapo nililenga kumquote mwingine, sikukulenga wewe! Ungeuliza tu kwamba kama nilikulenga wewe ama lah!
😂😂 Aisee Mkemi wa COET UDMS ujue alikuwa mwanasimba mwenzako ujueZile Hela ziliahidiwa na RC Hapi ila zikiwa zinatokea Mfukoni mwa GSM na asikudanganye Mtu Hela ya Rais Samia ( ya Hazina Serikalini ) haichezewi hivyo na Mtu kama Ally Hapi anajua fika kuwa Bi. Hangaya hamkubali na anamtafutia tu Kosa ili nae 'amlime' kama alivyofanya kwa Yule wa Mbeya kisha akahamishiwa Mwanza ambaye alikuwa 'akimvizia' Siku nyingi tu kwakuwa nae alikuwa ni 'Team Mkemia wa COET UDSM' aliyeondoka ghafla Ulimwenguni.
Hivi mheshimiwa mkuu wa mkoa, Ali Hapi, kwa nini hakuwasaidia zile milion 15 alizowaahidi wangeifunga simba? Biashara united wangeingia hatua ya pili wangepata milion 600Walezi wa team wanajitokea tu team zao zikicheza na Simba
Mbumbumbu umeandika nini hapa,sijakuelewa !Washauri uto na GSM wawamegee mkate ili next season uto ajihakikishie nafasi ya nne kwenda kwenye shirikisho!