Duka la nguo za kina mama Madera/baibui yaani Kuna viumbe wana jua kulalamika wakija dukani mtu ana taka umuuzie dera bei ambayo hata wewe hujanunua hivyo jumla ila nimejifunza kwenye biashara usiwe mtu wa huruma ilinishindwa kwa kweli.Unaweza kushare na wadau biashara uliyofanya alafu ikashindikana ili wadau wajifunze. ..karibu
Here we gobiashara zangu zote nilizofeli ni kwasababu nilikuwa naamini katika kushirikiana na watu na kugawana faida.
Siku niliyogundua nahitaji kuanzisha biashara na kuwa boss,hapo hapo nikaanza kupata faida.
Niko na Biashara ya duka lA Mangi. ..nimemweka ndugu.tuanze na wewe mtoa mada