Ndugu tafadhali naomba msaada wenu kuhusu soko/biashara ya mafuta ya kulainisha mitambo(lubricants),pia oil, hapa Tanzania,kama kuna muelewa wa hii industry kwa hapa Tanzania naomba tuwasiliane kwa email: rayerasto@gmail.com.
Ninachotaka hasa kujua ni
1.watengenezaji waliopo hapa Tanzania,na je hayo mafuta yote yanatengenezwa hapa hapa au yanaagizwa nje ya nchi,na waaigizaji ni nani
2.Ukubwa wa soko kwa hapa Tanzania,bei zake na chapa(brands) zilizopo sokoni
3.Sheria za kuanzisha hiyo biashara kwa hapa Tanzania kama ni kwa kuanzisha kiwanda au kuagiza
4.Mambo ya ushuru kwa upande wa EWURA na TRA.
Nimejaribu kuangalia yote hayo kwenye mtandao wa Ewura lakini huo mtandao hauna data/informations kama hizo
5.Pia kama kuna takwimu zozote juu ya hiyo industry kuhusu market share,
Asanteni
Ninachotaka hasa kujua ni
1.watengenezaji waliopo hapa Tanzania,na je hayo mafuta yote yanatengenezwa hapa hapa au yanaagizwa nje ya nchi,na waaigizaji ni nani
2.Ukubwa wa soko kwa hapa Tanzania,bei zake na chapa(brands) zilizopo sokoni
3.Sheria za kuanzisha hiyo biashara kwa hapa Tanzania kama ni kwa kuanzisha kiwanda au kuagiza
4.Mambo ya ushuru kwa upande wa EWURA na TRA.
Nimejaribu kuangalia yote hayo kwenye mtandao wa Ewura lakini huo mtandao hauna data/informations kama hizo
5.Pia kama kuna takwimu zozote juu ya hiyo industry kuhusu market share,
Asanteni