Zamazamani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2008
- 1,859
- 763
Wadau nafikiria kufungua milango ya kibiashara ya kupeleka vyakula huko Juba ,Sudan...Je hawa jamaa wanaeleweka au ni matapeli kama comoro na kongo???(nilishawahi tapeliwa na hawa jamaa)..hasa kama sintotumia LC from the bank???.je kuna mtu mwenye uzoefu na hawa jamaa???? naomba mawazo!!