marrykate
JF-Expert Member
- Mar 4, 2012
- 733
- 442
Habari ya jioni wana jamii.
Mdogo wangu ana mtaji wa shilingi milioni kumi, ila hajapata chaguo sahihi la biashara ipi afanye, alikuwa amewaza kufungua salun ya kiume aiweke iwe na vifaa vizuri na mazingira mazuri , sijui kama itamlipa, je kwa pesa hiyo unaweza kufanya biashara gani hasa kwa maeneo ya mjini.
Yeye anaishi Geita.
Asanteni sana
Mdogo wangu ana mtaji wa shilingi milioni kumi, ila hajapata chaguo sahihi la biashara ipi afanye, alikuwa amewaza kufungua salun ya kiume aiweke iwe na vifaa vizuri na mazingira mazuri , sijui kama itamlipa, je kwa pesa hiyo unaweza kufanya biashara gani hasa kwa maeneo ya mjini.
Yeye anaishi Geita.
Asanteni sana