Papito KInduki
Member
- Jul 3, 2012
- 37
- 36
Salaam wanajukwaa..
Naomba kuweka uzi huu mfupi.
Ktk biashara kuna biashara ambayo bidhaa zake zinakwisha, na biashara ambayo haiishi.
Biashara ambayo bidhaa inakwisha ni kama duka, unajaza bidhaa kama bahasha, vocha, pipi unga, maharage, n.k
Biashara ambayo haiishi ni kama mashine kama kuwa na mashine za kufyatua matofali, mashine ya kusaga wewe kazi yako ni kusagisha na kukoboresha nafaka na kuzipeleka kwenye mfumo wa biashara inayokwisha.
Lengo la kuandika huu uzi ni kwasababu nimeona kuna posts zinazoulizia aina zipi mtu anaweza kuanzisha biashara za namna hii. Yaani biashara isiyoisha.
Kwa namna nyingine unaweza kusema ni kuwa producer na sio kuwa sana kwenye retailer business, japokuwa hata huku kwenye producer unaweza kuwa retailer kwasababu ukifyatua matofari 10,000, akija mtu anahitaji matofali 20 unaweza kuuza, au ukiwa unasaga mahindi na kupata unga kama kilo 500, mtu akija anataka kilo 10, unamuuzia..
Kwahiyo nashauri sana kwa watu wapya wanaotaka kuingia kwenye biashara waangalie zaidi biashara yenye mfumo wa isiyoisha.. Yaani producer.
Binafsi napenda sana biashara isiyokwisha. Sipendi biashara inayokwisha kwasababu naamini ni rahisi kuleta hasara.
Mfano: ukiwa unauza vocha, na ikiwa vocha moja itapotea basi hasara yake inabeba vocha nyingine nyingi.
Biashara isiyoisha ni biashara ambayo faida yake haihesabiki, yaani ukiwa na mashine ya matofari, utafyatua matofali kila leo kwa kiasi kinachohitajika. Lkn biashara inayoisha faida yake inahesabika., inajulikana.
Biashara isiyoisha inahitaji utunzaji ili idumu.. Japo biashara inayoisha pia inahitaji umakini zaidi ili kulinda dhamani uabidhaa kwaajili ya kulinda faida.
Ahsante
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kuweka uzi huu mfupi.
Ktk biashara kuna biashara ambayo bidhaa zake zinakwisha, na biashara ambayo haiishi.
Biashara ambayo bidhaa inakwisha ni kama duka, unajaza bidhaa kama bahasha, vocha, pipi unga, maharage, n.k
Biashara ambayo haiishi ni kama mashine kama kuwa na mashine za kufyatua matofali, mashine ya kusaga wewe kazi yako ni kusagisha na kukoboresha nafaka na kuzipeleka kwenye mfumo wa biashara inayokwisha.
Lengo la kuandika huu uzi ni kwasababu nimeona kuna posts zinazoulizia aina zipi mtu anaweza kuanzisha biashara za namna hii. Yaani biashara isiyoisha.
Kwa namna nyingine unaweza kusema ni kuwa producer na sio kuwa sana kwenye retailer business, japokuwa hata huku kwenye producer unaweza kuwa retailer kwasababu ukifyatua matofari 10,000, akija mtu anahitaji matofali 20 unaweza kuuza, au ukiwa unasaga mahindi na kupata unga kama kilo 500, mtu akija anataka kilo 10, unamuuzia..
Kwahiyo nashauri sana kwa watu wapya wanaotaka kuingia kwenye biashara waangalie zaidi biashara yenye mfumo wa isiyoisha.. Yaani producer.
Binafsi napenda sana biashara isiyokwisha. Sipendi biashara inayokwisha kwasababu naamini ni rahisi kuleta hasara.
Mfano: ukiwa unauza vocha, na ikiwa vocha moja itapotea basi hasara yake inabeba vocha nyingine nyingi.
Biashara isiyoisha ni biashara ambayo faida yake haihesabiki, yaani ukiwa na mashine ya matofari, utafyatua matofali kila leo kwa kiasi kinachohitajika. Lkn biashara inayoisha faida yake inahesabika., inajulikana.
Biashara isiyoisha inahitaji utunzaji ili idumu.. Japo biashara inayoisha pia inahitaji umakini zaidi ili kulinda dhamani uabidhaa kwaajili ya kulinda faida.
Ahsante
Sent using Jamii Forums mobile app