Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Nyingine zinageuzwa hosteli, nyingine zinapigwa mnada na benki, hii mwenye nayo anaiuza
mabasi na sheli nayo yanauzwa, waliokuwa na ndoto za kuwekeza sasa wameona ni bora kufungia fedha zao benki wakala riba tu... kuwekeza Tanzania kwa sasa ni kujitafutia matatizo
hayo mapato ya TRA sijui yanapatikana wapi?
mabasi na sheli nayo yanauzwa, waliokuwa na ndoto za kuwekeza sasa wameona ni bora kufungia fedha zao benki wakala riba tu... kuwekeza Tanzania kwa sasa ni kujitafutia matatizo
hayo mapato ya TRA sijui yanapatikana wapi?