Biashara Goma

Nyenyere

JF-Expert Member
Sep 9, 2010
14,769
10,645
Wadau nauliza kama kuna mbongo ambaye amewahi fika Goma DRC ili nijue boda aliyopitia na ugumu uliopo. Nasikia kuna watannzania wanafanya biashara huko, nataka nikachungulie.
 
Wadau nauliza kama kuna mbongo ambaye amewahi fika Goma DRC ili nijue boda aliyopitia na ugumu uliopo. Nasikia kuna watannzania wanafanya biashara huko, nataka nikachungulie.

kama uko Dar chukua bus ( sumry) adi Bukoba 60,000 tsh kisha chukua bus adi kampala ( bukoba adi kampala ni kama km 300 nauli 15,000 tzsh.

kisha kampala chukua bus ( horizon bus) utoka saa 1 jioni na ufika Goma congo saa 4 asubuh. bus upitia rwanda naul ni kuanzia 20,000 tsh.

au chukua bus za rwanda kisha goma congo.
 
Je ni kweli kuna biashara maana mim pia nilitaka kwenda kuchungulia nimeambiwa huko mambo ni mazur ukipeleka vyakula kama unga, chumvi n.k alimradi ni bidhaa za cyakula naskia biashara huko imekaa vyema

tafuta milioni zako mbili au tatu nenda mzima mzima ukafanye research mwenyewe, utapata network za kutosha kabla hata ya kuja kuchukua mzigo na istoshe to the minimum milioni moja itatosha kwenda na kukaa wiki moja kwa uchache na kufanya utafiti wenye mafanikio makubwa, wabongo wapo kuna jamaa yangu uko jeshini alikuwa ananipa habari, future iko nje nje kule
 
tafuta milioni zako mbili au tatu nenda mzima mzima ukafanye research mwenyewe, utapata network za kutosha kabla hata ya kuja kuchukua mzigo na istoshe to the minimum milioni moja itatosha kwenda na kukaa wiki moja kwa uchache na kufanya utafiti wenye mafanikio makubwa, wabongo wapo kuna jamaa yangu uko jeshini alikuwa ananipa habari, future iko nje nje kule

Mkuu, one million for a week? Anaenda kutalii?...kwanza wiki nzima ya nini kwani Goma mji si mkubwa wa kumsumbua, 4 days na laki 6 zinatosha sana bana!
 
Wadau nauliza kama kuna mbongo ambaye amewahi fika Goma DRC ili nijue boda aliyopitia na ugumu uliopo. Nasikia kuna watannzania wanafanya biashara huko, nataka nikachungulie.
Nenda ukachungulie lakini kuwa makini. Pitia kigali panda bus la tawfiq ukifika kigali utapanda bus la gisenyi borda hapo ndio borda ya Ruanda na Goma. Angalia sana watu wa Ruanda wengi hawawapendi watz
 
Je wapo watanzania wanaofanya kazi au biashara eneo hilo,? Ninauzoefu kidogo katka mji wa lilongwe malawi kule watanzania wapo wa kutosha hadi wakulima wa karanga wapo huko hivyo kwasisi waganga njaa ukifika hapo lazma utakuta mtanzania anazagaa maeneo ndio nauliza je eneo hilo wapo watanzania?
 
Je wapo watanzania wanaofanya kazi au biashara eneo hilo,? Ninauzoefu kidogo katka mji wa lilongwe malawi kule watanzania wapo wa kutosha hadi wakulima wa karanga wapo huko hivyo kwasisi waganga njaa ukifika hapo lazma utakuta mtanzania anazagaa maeneo ndio nauliza je eneo hilo wapo watanzania?

Nimesikia kuwa watz wapo kibao tu. Nataka nifike mwenyewr no matter what! Hofu yangu ni boda ya Rwanda, hawa jamaa nasikia wanatuchukia sana.
 
Nenda ukachungulie lakini kuwa makini. Pitia kigali panda bus la tawfiq ukifika kigali utapanda bus la gisenyi borda hapo ndio borda ya Ruanda na Goma. Angalia sana watu wa Ruanda wengi hawawapendi watz

Ni mbinu gani wanayotumia watz kupita Gisenyi bila matatizo? Vipi hakuna njia ya kuepuka kupita Rwanda?
 
kama uko Dar chukua bus ( sumry) adi Bukoba 60,000 tsh kisha chukua bus adi kampala ( bukoba adi kampala ni kama km 300 nauli 15,000 tzsh.

kisha kampala chukua bus ( horizon bus) utoka saa 1 jioni na ufika Goma congo saa 4 asubuh. bus upitia rwanda naul ni kuanzia 20,000 tsh.

au chukua bus za rwanda kisha goma congo.

Mkuu vipi usumbufu mipakani? Suala la vibali limekaaje? Kuna maeneo mengine yafaayo kutembelea mbali na Goma?
 
Swali dogo:

Toka Tz nitapita Rwanda ndio niingie DRC. Vipi kuhusu kupita Rwanda, suala la visa limekaaje? Na pia pesa ipi inayotumika kwa biashara?

nchi 5 za afrika mashariki ukiingia ni bure ulipii visa,watakuuliza tu unakaa muda gani sema kutembea,na unagongewa visa,nchi hizo ni Uganda,kenya,tanzania,rwanda na burundi.

kuhusu matumizi ya pesa,unabadilisha pesa kulingana na nchi uliyopo,pia mpaka wa Rwanda na tanzania upo Rusumo mkoani kagera
 
nchi 5 za afrika mashariki ukiingia ni bure ulipii visa,watakuuliza tu unakaa muda gani sema kutembea,na unagongewa visa,nchi hizo ni Uganda,kenya,tanzania,rwanda na burundi.

kuhusu matumizi ya pesa,unabadilisha pesa kulingana na nchi uliyopo,pia mpaka wa Rwanda na tanzania upo Rusumo mkoani kagera

Mi ninavyojua ukiwa na passport au konali cha muda wanachofanya wanakugongea muuhuri. EAC hatutumii visa jamani. Mi nishafika bujumbura na kigali tena enzi hizo nilikuwa natumia vibali vya muda. Ila kumbuka kuchanja yello fivor.
 
Ndg mleta mada hilo ni Wazo zuri kwenda kuangalia Fulsa mahari pengine lengo ni kuboresha MAISHA unajua %kubwa waTZ wengine tunalidhika na maisha ya hapa Bongo! Nenda kisha uje utupatie Mrejesho! huenda ukasaidia wengi! Khs huko GOMA kuna rafiki yangu 1 mGANDA aliwahi kunambia kwamba huko Biashara ya vyakula km VIAZI nk ni bz nzuri sana! alichonambia ukiwa na Mzigo ukikutana na waJEDA hawana neno ukiwa viDOLA kdg unawapoza wee unasonga2 Wanasema % kubwa huko wana2mia US DOLA.kila la kheri ndg!
 
Back
Top Bottom