Biashara gani yenye kuingiza faida ya milioni 100 mpaka 500/mwezi/wiki/siku?

Status
Not open for further replies.
sounds interesting mkuu, naomba nije PM ,,,,,unipe kitu kama the whole sceleton of this
Ni kweli inalipa but very complicated uifanye for leisure.

Siku hizi vitalu vya uwindaji vinanunuliwa kwa mnada lakini kama unataka kuanza now unaweza kuingia collaboration na mwenye kitalu wewe ukawa unamletea wateja wa kuwinda wanyama. Hiyo itakuwa ina unafuu kwako.

Lakini kumiliki kitalu sio pesa ya maandazi. Kuna hela ya kukinunua, kuna ada ya kulipa kila mwaka kutokana na ubora na sehemu kitalu kilipo kuna cha ada ya dollar 15,000, 30,000 na 60,000 kuendelea.

Mnyama unayemwinda kuna gharama za kumlipia:-

Dollar 8, 500 Nyati
Dollar 4,500 Chui
Dollar 7,500 simba
Dollar 400 swala
Nk nk

Huyo mnyama unaweza kumuuzia mgeni/mteja bei mara 3

Kuna gharama za kulipia siku utakazoweka camp, wafanyakazi nk

Kiufupi hii biashara inalipa sana lakini ni very complicated na inahitaji mtaji mkubwa sana almost 1B na kuendelea kwa kumiliki kitalu.
 
mmmmh...i dont think to open a mobile company for now in this country will strive, maybe another country competition is very high, i asked my self for example there was a mobile company called SMART, where is it now? how about ZANTEL, i want something that is not competitive wise and less challenges especially on vibali things
Fungua kampuni ya mitandao ya simu;hii ndio biashara pekee na halali inayoweza kukupa hiyo faida unayoitaka kwa siku
 
Hello business personels
Naomba kujua as per heading above, biashara ipi ambayo naweza kuingiza kiasi cha faida zaidi ya milioni 100 hadi 500 kwa mwez, kwa wiki au kwa siku..
Haijalishi mtaji kama ni mkubwa, niambiwe pia kiasi cha huo mtaji, na mtiririko wote kwa ujumla, kama utaona kueleza hapa ni shida, you can come direct to my PM kwa kunipa maelezo zaidi.
Copy Business Model Ya Azam Ukwaju ( Azam Ice Lolly ).
Tengeneza Mtandao Wa Usambazaji Nchi Nzima.
Ukiuza ( Mfano Ukwaju ) Moja Na Ukapata Faida Ya Tsh 100 !
Na Kama Ukiuza Bars Laki 2 Kwa Siku, Tayari Una Tsh 200,000^100 = Tsh 20,000,000 Kama Profit.
Ukiongeza Mauzo Au Faida Unapata Zaidi.

Si Lazima Ufanye Ukwaju, Unaweza Kucheki Bidhaa Nyingine Yoyote !
 
Asante
Copy Business Model Ya Azam Ukwaju ( Azam Ice Lolly ).
Tengeneza Mtandao Wa Usambazaji Nchi Nzima.
Ukiuza ( Mfano Ukwaju ) Moja Na Ukapata Faida Ya Tsh 100 !
Na Kama Ukiuza Bars Laki 2 Kwa Siku, Tayari Una Tsh 200,000^100 = Tsh 20,000,000 Kama Profit.
Ukiongeza Mauzo Au Faida Unapata Zaidi.

Si Lazima Ufanye Ukwaju, Unaweza Kucheki Bidhaa Nyingine Yoyote !
 
Copy Business Model Ya Azam Ukwaju ( Azam Ice Lolly ).
Tengeneza Mtandao Wa Usambazaji Nchi Nzima.
Ukiuza ( Mfano Ukwaju ) Moja Na Ukapata Faida Ya Tsh 100 !
Na Kama Ukiuza Bars Laki 2 Kwa Siku, Tayari Una Tsh 200,000^100 = Tsh 20,000,000 Kama Profit.
Ukiongeza Mauzo Au Faida Unapata Zaidi.

Si Lazima Ufanye Ukwaju, Unaweza Kucheki Bidhaa Nyingine Yoyote !
Good!
 
Hello business personels

Naomba kujua as per heading above, biashara ipi ambayo naweza kuingiza kiasi cha faida zaidi ya milioni 100 hadi 500 kwa mwez, kwa wiki au kwa siku..

Haijalishi mtaji kama ni mkubwa, niambiwe pia kiasi cha huo mtaji, na mtiririko wote kwa ujumla, kama utaona kueleza hapa ni shida, you can come direct to my PM kwa kunipa maelezo zaidi.
Unga mkuu
 
Fungua kiwanda cha kubangua korosho and pack them kisasa (for export purpose). Maximum capital is 1m USD. Kiwanda sio cha kienyeji hichi, ni cha kisasa ambacho kila kitu kinafanywa na machines, kuanzia kuchoma, kubangua na kupack (unaweza ukatumia gas ya carbon n.k kwenye ku pack).

Korosho by next year and years to come zitakua balanced kibiashara contrary to this year serikali ilivoyumbisha soko.

Korosho katika soko la dunia ipo below margin ya mahitaji. Yani korosho inatumika zaidi kuliko kupatikana kwake (Demand is more than words could say).
 
Hello business personels

Naomba kujua as per heading above, biashara ipi ambayo naweza kuingiza kiasi cha faida zaidi ya milioni 100 hadi 500 kwa mwez, kwa wiki au kwa siku..

Haijalishi mtaji kama ni mkubwa, niambiwe pia kiasi cha huo mtaji, na mtiririko wote kwa ujumla, kama utaona kueleza hapa ni shida, you can come direct to my PM kwa kunipa maelezo zaidi.
Kama Mtaji sio issue nakushauri kanunue Bond za Serikari wanatoa 15.49 p.a kwa miaka 20 na wanatoa gawio mara mbili kwa mwaka,Mfano 20,000,000,000 inakupa 258,166,666.67 kwa mwezi, na hio ni pesa ya Uhakika, haina kukamatwa kodi (haina withholding tax) wala makato yeyote
 
shukrani sana..1m usd its okey
Fungua kiwanda cha kubangua korosho and pack them kisasa (for export purpose). Maximum capital is 1m USD. Kiwanda sio cha kienyeji hichi, ni cha kisasa ambacho kila kitu kinafanywa na machines, kuanzia kuchoma, kubangua na kupack (unaweza ukatumia gas ya carbon n.k kwenye ku pack).

Korosho by next year and years to come zitakua balanced kibiashara contrary to this year serikali ilivoyumbisha soko.

Korosho katika soko la dunia ipo below margin ya mahitaji. Yani korosho inatumika zaidi kuliko kupatikana kwake (Demand is more than words could say).
 
is it necessary 20 billion?
Kama Mtaji sio issue nakushauri kanunue Bond za Serikari wanatoa 15.49 p.a kwa miaka 20 na wanatoa gawio mara mbili kwa mwaka,Mfano 20,000,000,000 inakupa 258,166,666.67 kwa mwezi, na hio ni pesa ya Uhakika, haina kukamatwa kodi (haina withholding tax) wala makato yeyote
 
Status
Not open for further replies.
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom