BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,313
- Thread starter
- #21
sounds interesting mkuu, naomba nije PM ,,,,,unipe kitu kama the whole sceleton of this
Ni kweli inalipa but very complicated uifanye for leisure.
Siku hizi vitalu vya uwindaji vinanunuliwa kwa mnada lakini kama unataka kuanza now unaweza kuingia collaboration na mwenye kitalu wewe ukawa unamletea wateja wa kuwinda wanyama. Hiyo itakuwa ina unafuu kwako.
Lakini kumiliki kitalu sio pesa ya maandazi. Kuna hela ya kukinunua, kuna ada ya kulipa kila mwaka kutokana na ubora na sehemu kitalu kilipo kuna cha ada ya dollar 15,000, 30,000 na 60,000 kuendelea.
Mnyama unayemwinda kuna gharama za kumlipia:-
Dollar 8, 500 Nyati
Dollar 4,500 Chui
Dollar 7,500 simba
Dollar 400 swala
Nk nk
Huyo mnyama unaweza kumuuzia mgeni/mteja bei mara 3
Kuna gharama za kulipia siku utakazoweka camp, wafanyakazi nk
Kiufupi hii biashara inalipa sana lakini ni very complicated na inahitaji mtaji mkubwa sana almost 1B na kuendelea kwa kumiliki kitalu.