Beberu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 3,937
- 7,923
Kuna jamaa mtaani anamshine yake nyumbani uwani anatengeneza product flani anapiga pesa mbaya, wafanyakazi wanapokezana shift.
Kwa siku anaingiza profit sio chini ya milioni 4.
Katika kudodosa kwa watu wake wa karibu wanasema hiyo mashine amenunua milioni 70 hapa Tanzania. Na uhitaji wa soko umemzidia anashindwa kudeliver order za wateja kwa wakati.
Nimejaribu kufuatilia bei ya hiyo mashine China inauzwa Dollar 50,000.
Product gani