rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 13,167
- 16,423
Mbona ghari hivyo??? Zipo laki2 tu mpaka full contained choo chako na stoo unapatamillion mbili ilikuwa kabla ya miaka mitano
kuna Mtu pale analipa 1.5M ina mpaka store
pia kuna mtaa nilipewa frem inataka 300k though siyo kubwa
unacheza Siku hizi wanabandika Tangazo La from inapangishwa
Tena ziko barabarani kabisa