mgani da prince
Member
- Jan 6, 2018
- 23
- 13
Nina mtaji wa 1M nipo Kigamboni mitaa ya kwa Urasa. Biashara gani inaweza faa kwa mtaji huo.
Msaada wenu plz
Msaada wenu plz
Pwani na dsm
Tuwasiliane niko Kibada kuna biashara ya mifuko ya Jafafa unanunua mmoja 5000 unauza 8000 wateja wapo kwa kutosha sanaNina mtaji wa 1M nipo Kigamboni mitaa ya kwa Urasa. Biashara gani inaweza faa kwa mtaji huo.
Msaada wenu plz
Ndo mifuko Gani hiyo?Tuwasiliane niko Kibada kuna biashara ya mifuko ya Jafafa unanunua mmoja 5000 unauza 8000 wateja wapo kwa kutosha sana
Ng'ombe mmoja anauzwa sh.ngapi huko vijijini? Na Vingunguti anazwa bei gani?Biashara ya matoroli au kununua ng'ombe vijijini Na kuuza vingunguti
Fatilia...inategemea Na kiloNg'ombe mmoja anauzwa sh.ngapi huko vijijini? Na Vingunguti anazwa bei gani?
Wasiwasi wangu ni kuwa huo mtaji alionao hautoshi kwa biashara hiyoFatilia...inategemea Na kilo
Ataanza na mbuzi maana idea Ni ileile.Wasiwasi wangu ni kuwa huo mtaji alionao hautoshi kwa biashara hiyo
Biashara ya ng'ombe simshauri mtu yeyote. Labda kama ni msujuma sawa. Ila pia kwa mtaji huo ni bado ni mdogo sanaBiashara ya matoroli au kununua ng'ombe vijijini Na kuuza vingunguti
Hapo sawaAtaanzaje na mbuzi maana idea Ni ileile.
Kwanini humshauri biashara ya ng'ombe?Biashara ya ng'ombe simshauri mtu yeyote. Labda kama ni msujuma sawa. Ila pia kwa mtaji huo ni bado ni mdogo sana
Tuwasiliane niko Kibada kuna biashara ya mifuko ya Jafafa unanunua mmoja 5000 unauza 8000 wateja wapo kwa kutosha sana
Biashara ya matoroli au kununua ng'ombe vijijini Na kuuza vingunguti
Bora akaanza na kuku MkuuAtaanza na mbuzi maana idea Ni ileile.
Tuwasiliane niko Kibada kuna biashara ya mifuko ya Jafafa unanunua mmoja 5000 unauza 8000 wateja wapo kwa kutosha sana