Biashara gani naweza kufanya kwa Mtaji wa 20M

Basham

JF-Expert Member
Oct 10, 2014
743
429
Amani iwe kwenu wana Jamvi,

Poleni na Majukumu.
kama kichwa cha habari kinavyojieleza mie ni kijana Me 27yrs nimwajiriwa lakini nimeweza kujichanga kutokana na Mshahara na marupupu mengine nimeweza kupata kiasi hicho cha Fedha.
Nmefikiria nikaona ni muda muafaka kwa mimi kauchia ngazi ili nikajiari katika ujasiriamali. Je ni biashara gani ambayo inaweza kunitoa na yenye Return nzuri. Mie binafsi niko Interested na hizi zifuatazo lakini kama mnavojua dunia ina opportunity nyingi inawezekana kuna ambazo mie siziwazi/ sizijui lakini zina lipa vizuri tuu na Humu kuna wajuzi wakubwa wa Mambo ya Biashara wanaweza nishauri na kunipa Muongozo mzuri
1. Vyakula - Mahindi/Unga/Mchele/Mafuta ya kula ya Alizeti
2. Spea za magari/Bajaji na Pikipiki
3. Kilimo cha umwagiliaji
4. Mgahawa/Bakery

Naweza ishi na kufanya biashara mkoa wowote wenye fursa nzuri
Thanks in advance
Mie ni mwanafunzi najifunza kwa hiyo nitaheshimu na kushukuru kwa ushauri na mawazo yotee ya Member

BM

Updates
Nmenunua Bajaji Mbili hesabu kwa Siku ni 40k kwa zote mbili na chenji imebaki nitafungua Spea za Bajaji
 
Kwa mtizamo wangu biashara ya nafaka za vyakula kama ulivyo ainisha namba moja ni nzuri sana kwasababu inagusa hitaji la lazima la kila siku la binadamu. Kwa hiyo kama utanuia kufanya hiyo zingatia kutafuta sehemu nzuri yenye uwepo wa watu kwa wingi kama fremu zilizo karibu na vituo vikubwa vya daladala nk.
Zaidi ya hayo NAKUTAKIA KILA LA HERI
 
Umefanya maamuzi mazuri Chief. Ingia direct kwenye Ujasiliamali ndio mahali pekee utakapotoboa sana sana, wala usiweke mguu mmoja huku na mwingine kule you will never break through. Mtaji wako ni mzuri sana unaweza kutengeneza 100M within 2years kama utaacha kusitasita na kuingia mzigoni.

Biashara ulizozilist hapo juu zote ni nzuri lakini mafanikio ya biashara huwa yanaonekana pale unapata eneo(Location) lenye namba kubwa ya wateja wa biashara unayoifungua. Mfano ukienda moshi stand kuna maduka ya home products(retail shops) lakini kutokana na location nzuri
wanafunga mahesabu na faida ya zaidi ya 1m per day, so kila biashara ni nzuri pale unapopata eneo zuri.
Mhindi mmoja alimfuata jamaa mmoja aliyefungua biashara kwenye eneo la wateja wengi, mhindi alimwambia jamaa anataka kuinunua biashara yake anataka ampe 15m ili ainunue, jamaa kuona offer ile akaona ameokota dhahabu mchangani maana biashara yake ilikuwa ya 7m akamuuzia mhindi. yeye akaenda kufungua sehemu nyingine yenye wateja wachache, baada ya mwaka jamaa alikuwa anajuta, maana mhindi alikuwa analala na faida ya laki8 per day yeye analala na faida ya elfu40 per day.

Biashara ni Wateja
 
Kutokana na mtaji wako nakushauri ufanye double business kulingana na mkoa utakaochagua kuweka base ya biashara zako;-

1.NJOMBE.
Katika mkoa huu wenye ardhi yenye rutuba utalima VIAZI MVIRINGO na at the same time utafanya biashara ya MBAO.
Nina wadau kule ukiwa interested niambie nikuunganishe nao

2. MTWARA&LINDI
Katika mikoa Tanzania ambayo bado ina fursa nyingi ni hii, i've been there, biashara zinahitajika kule wenye mitaji nendeni mkaangalie fursa plse, lakini kwa huyu mkuu tunayemuongezea idadi ya biashara naomba ukafanye these two, biashara yako italink mikoa Dar na Kusini
From Dar utachukua MAYAI na kuyapeleka kusini na ikiwezekana fungua na fremu ya MAYAI coz kusini wanaconsume mayai yanayotoka Dar na at the same time jihusishe na biashara ya KOROSHO. Biasha ya korosho ina watu wake lakini nina wadau kusini watakupachika kwenye systym zao.

3.MOROGORO.
Utalima mpunga na vijijini na at the same time utafungua biashara ya nafaka mbalimbali mjini. mkoa huu sina wadau

4.GEITA.
Moja ya mikoa iliyobarikiwa kwenye ardhi ya rutuba na madini ni huu. Hapa nina wadau tena ndugu wanadeal na biashara ya DHAHABU, nitakulink nao wakupe ABC za biashara hiyo na at the same time utafungua mashamba ya MAHINDI, PAMBA au MATIKITIMAJI.

5.IRINGA/MBEYA
Nadhani unafahamu jinsi mikoa hii nayo ilivyobarikiwa kwa ardhi safi na yenye rutuba, Kama utaenda kwenye mikoa hii kwanza fungua MGHAHAWA wako wa nguvu kwenye eneo lenye demand kubwa ya MGHAHAWA and then nenda shamba sasa mkuu, Lima VIAZI au NDIZI, au MCHELE au VITUNGUU. yani ni wewe tu utaamua. Mbeya sina wadau but Iringa wapo.

6.MKOA WOWOTE.
Fungua biashara ya VIPURI VYA PIKIPIKI na at the same time Fanya biashara ya BODABODA. Angalizo kwenye biashara ya bodaboda, wakabidhi kwa mikataba, yaani kila siku alete kiasi kadhaa baada ya mwaka inakuwa yake itakulipa.

Naomba usinisahau kwenye ajira mkuu maana mtaa umetunyoosha sana, ajira hakuna na mitaji hakuna

ALL THE BEST
 
Umefanya maamuzi mazuri Chief. Ingia direct kwenye Ujasiliamali ndio mahali pekee utakapotoboa sana sana, wala usiweke mguu mmoja huku na mwingine kule you will never break through. Mtaji wako ni mzuri sana unaweza kutengeneza 100M within 2years kama utaacha kusitasita na kuingia mzigoni.

Biashara ulizozilist hapo juu zote ni nzuri lakini mafanikio ya biashara huwa yanaonekana pale unapata eneo(Location) lenye namba kubwa ya wateja wa biashara unayoifungua. Mfano ukienda moshi stand kuna maduka ya home products(retail shops) lakini kutokana na location nzuri
wanafunga mahesabu na faida ya zaidi ya 1m per day, so kila biashara ni nzuri pale unapopata eneo zuri.
Mhindi mmoja alimfuata jamaa mmoja aliyefungua biashara kwenye eneo la wateja wengi, mhindi alimwambia jamaa anataka kuinunua biashara yake anataka ampe 15m ili ainunue, jamaa kuona offer ile akaona ameokota dhahabu mchangani maana biashara yake ilikuwa ya 7m akamuuzia mhindi. yeye akaenda kufungua sehemu nyingine yenye wateja wachache, baada ya mwaka jamaa alikuwa anajuta, maana mhindi alikuwa analala na faida ya laki8 per day yeye analala na faida ya elfu40 per day.

Biashara ni Wateja
Asantee sanaa mkuu kwa Mchango wako be Blessed
 
Kutokana na mtaji wako nakushauri ufanye double business kulingana na mkoa utakaochagua kuweka base ya biashara zako;-

1.NJOMBE.
Katika mkoa huu wenye ardhi yenye rutuba utalima VIAZI MVIRINGO na at the same time utafanya biashara ya MBAO.
Nina wadau kule ukiwa interested niambie nikuunganishe nao

2. MTWARA&LINDI
Katika mikoa Tanzania ambayo bado ina fursa nyingi ni hii, i've been there, biashara zinahitajika kule wenye mitaji nendeni mkaangalie fursa plse, lakini kwa huyu mkuu tunayemuongezea idadi ya biashara naomba ukafanye these two, biashara yako italink mikoa Dar na Kusini
From Dar utachukua MAYAI na kuyapeleka kusini na ikiwezekana fungua na fremu ya MAYAI coz kusini wanaconsume mayai yanayotoka Dar na at the same time jihusishe na biashara ya KOROSHO. Biasha ya korosho ina watu wake lakini nina wadau kusini watakupachika kwenye systym zao.

3.MOROGORO.
Utalima mpunga na vijijini na at the same time utafungua biashara ya nafaka mbalimbali mjini. mkoa huu sina wadau

4.GEITA.
Moja ya mikoa iliyobarikiwa kwenye ardhi ya rutuba na madini ni huu. Hapa nina wadau tena ndugu wanadeal na biashara ya DHAHABU, nitakulink nao wakupe ABC za biashara hiyo na at the same time utafungua mashamba ya MAHINDI, PAMBA au MATIKITIMAJI.

5.IRINGA/MBEYA
Nadhani unafahamu jinsi mikoa hii nayo ilivyobarikiwa kwa ardhi safi na yenye rutuba, Kama utaenda kwenye mikoa hii kwanza fungua MGHAHAWA wako wa nguvu kwenye eneo lenye demand kubwa ya MGHAHAWA and then nenda shamba sasa mkuu, Lima VIAZI au NDIZI, au MCHELE au VITUNGUU. yani ni wewe tu utaamua. Mbeya sina wadau but Iringa wapo.

6.MKOA WOWOTE.
Fungua biashara ya VIPURI VYA PIKIPIKI na at the same time Fanya biashara ya BODABODA. Angalizo kwenye biashara ya bodaboda, wakabidhi kwa mikataba, yaani kila siku alete kiasi kadhaa baada ya mwaka inakuwa yake itakulipa.

Naomba usinisahau kwenye ajira mkuu maana mtaa umetunyoosha sana, ajira hakuna na mitaji hakuna

ALL THE BEST
Asantee sanaa mkuu kwa Ushauri mzuri. Mwezi wa tano niliamua kufanya ziara mikoa yotee tz kusoma fursa kuikweli nilijifunza mengi sana na bado najifunza mtembea buree sioo sawa na mkaa buree. Thanks
 
Back
Top Bottom