Biashara gani naweza kufanya kwa Milioni 10-18? Msaada Please

Think Hard

JF-Expert Member
Feb 12, 2015
318
303
Habarini za jioni waugwana,

Ninapenda kutanguliza shukrani zangu kwa yeyote atakaenisaidia.

Ndugu zangu nina shida ambayo naamini wataalamu wa biashara wanaweza kunisadia - Katika kipindi hichi kigumu kwa wafanyabiashara walio wengi, ningependa kuomba ushauri na msaada wa wazo la bishara gani nifanye.

Ninataka nifanye biashara lakini mtaji wangu nikama 10-18 Milioni- Wataalamu mnisaidie, ni biashara gani nawezakufanya na ikanipa matokeo chanya kwa mda mfupi?

Nitashukuru sana kwa mawazo yenu.
 
Muda mfupi ni siku, wiki, miezi au miaka mingapi? Kwa 15m unaweza enda kununua vitunguu maji gunia 300 mwezi wa 8-9, unavitunza hadi December. Wakati wa kuuza hutokosa 50,000 kama faida kwa kila gunia, so you are likely to make between 12-14m kama faida. VIGEZO NA MASHARTI YAZINGATIWE.
 
Muda mfupi ni siku, wiki, miezi au miaka mingapi? Kwa 15m unaweza enda kununua vitunguu maji gunia 300 mwezi wa 8-9, unavitunza hadi December. Wakati wa kuuza hutokosa 50,000 kama faida kwa kila gunia, so you are likely to make between 12-14m kama faida. VIGEZO NA MASHARTI YAZINGATIWE.
Nashukuru Mkuu kwa wazo zuri..
 
Muda mfupi ni siku, wiki, miezi au miaka mingapi? Kwa 15m unaweza enda kununua vitunguu maji gunia 300 mwezi wa 8-9, unavitunza hadi December. Wakati wa kuuza hutokosa 50,000 kama faida kwa kila gunia, so you are likely to make between 12-14m kama faida. VIGEZO NA MASHARTI YAZINGATIWE.

Hujamwambia akachukue wapi hivyo vitunguu
 
Nakushauri nenda kanunue bond pale nmb bank kwa kutumia huo mtaji wako nd utakua unalipwa 13% kila mwezi .. so hela yako itakua safe haupati hasara zaid ya kupata faida.
 
Nakushauri nenda kanunue bond pale nmb bank kwa kutumia huo mtaji wako .. nd utakua unalipwa 13% kila mwezi .. so hela yako itakua safe haupati hasara zaid ya kupata faida ..

Hii ikoje mkuu? Upo serious? Ni kweli unaweza weka hela afu ukawa unapata faida ya 13%Kila mwezi?
 
Hii ikoje mkuu? Upo serious? Ni kweli unaweza weka hela afu ukawa unapata faida ya 13%Kila mwezi?
Yah unaweza .. mie ndio kitu nachokifanya .. kama mwezi ukiopita nilinunua bond ya 10 million na naenjoy profit ya 1.3 million ya kila mwezi .. wanakua wanakupa interest .. ila hiyo interest unapewa kila after 6 month .. yani 1.3 zidisha mara miez sita .. mbna zipi biashara ambazo hupati hasara .. na wala haitaji unahangaika
 
Back
Top Bottom