Biashara gani naweza kufanya kwa Milioni 10-18? Msaada Please

Think Hard

JF-Expert Member
Feb 12, 2015
318
303
Habarini za jioni waugwana..

Ninapenda kutanguliza shukrani zangu kwa yeyote atakaenisaidia.

Ndugu zangu nina shida ambayo naamini wataalamu wa biashara wanaweza kunisadia- Katika kipindi hichi kigumu kwa wafanyabiashara walio wengi, Ningependa kuomba ushauri na msaada wa wazo la bishara gani nifanye.

Ninataka nifanye biashara lakini mtaji wangu nikama 10-18 Milioni- Wataalamu mnisaidie, ni Biashara gani nawezakufanya na ikanipa matokeo chanya kwa mda mfupi??

Nitashukuru sana kwa mawazo yenu.
 
Back
Top Bottom