feysher
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 2,656
- 2,762
Ulikutana na changamoto gani mkuu ?
Zilezile tu
Ulikutana na changamoto gani mkuu ?
Naona zile hoja zenu kuwa sisi hatujielewi unazipatia majibu kwenye Uzi huu.. Watu kumbe vipigo mpaka kwenye mpunga hahahaha .. Poleni ila acheni kutudharau na sisi jamaniUnataka waje kujaribu kule kwako?
hii sitaifanya tenaAcha kabisa staki hata kukumbuka pia
Njoo tunenepeshe mbuziChangamoto sana,
kimenipotezea muda sana.
Hamna anaewadharau.Naona zile hoja zenu kuwa sisi hatujielewi unazipatia majibu kwenye Uzi huu.. Watu kumbe vipigo mpaka kwenye mpunga hahahaha .. Poleni ila acheni kutudharau na sisi jamani
Unaweza kutudokeza ni biashara gani mkuu?Binafsi Nina biashara na zinaenda, sina changamoto nshukuru Mungu...
Simply ni pilipili hizi za kawaida ila unaeka katika hali ya kimiminika pamoja na vionjo mbali mbali kama tangawizi, vitunguu swaumu, mafuta n.kUnaweza kutudokeza ni biashara gani mkuu?
Just to inspire others.
Wewe hii mbinu nahisi inasaidia sana!Biashara ya bodaboda kwangu inafanya poa tu,ninazo 6 na madereva nimewapa mkataba baada ya mwaka mmoja pikipiki nawaachia,so wanafanya kazi kwa molali..changamoto zipo mojamoja ila sio za kunifanya niache hii biashara
Shida ndio hapoAisee alafu zinaoza faster
Vip mkuu ilikuwa na Matatizo au?Nilishawishika nikanunua ist kwa mtu nikaiingiza kwenye Uber. Kilichotokea kila nikiona simu ya dereva roho inanipasuka. Nikatafuta mtu nikamuuzia ile gari roho ikanitulia maana ningekonda kwa presha
Vip mkuu ilikuwa na Matatizo au???
Bishara ya kuza dawa za chooni aiseee nilikutana na changamoto Sana ila hili la mteja mmoja kunikabidhi dekio chafu ni lisugue kwa dawa likitakata ndo anunue sikulivumilia na kupiga chini hiyo biashara
Kipindi niko first year chuo nlinunua bodaboda mbili aisee io changamoto yake usipime stres tupu madereva pasua kinoma nikapiga chini nikaziuza zote aisee
Mkataba watu wanaandikishana lakini wapi mkuu labda kama wewe unawapaga pikipiki mwaka ukiisha...Mkuu kwa biashara ya pkpk ungewapa za mkataba hao bodaboda mbona unge furahi maana we ni kupokea Elfu 70 kila juma na hakuna usumbufu wa kupigiwa simu kila mara ooh bosi taa imevunjika ooh bosi mnyororo umeisha yaan kila kitu ni juu yake we ni kunyoosha mkono ukiwa tupu na kuurudisha mfukoni ukiwa na 70 elfu...... Lakn hata huo mkataba nao una changamoto yake.
Global marketingbiashara iliyonishinda ni ile wanakuambia "GOOD MORNING BILLIONAIRE UNACHOTAKIWA KUFANYA NI KULETA WENZAKO WA2 NA WAO WALETE WATU WA2 KISHA UNAANZA KUPIGA HELA KWENYE HIO NETWORK YAKO"