Tupeane Uzoefu: Biashara gani ilikushinda?

Forex
Baada ya kuvutiwa na uzi wa kwanza kabisa. Mzee nikapakua vitabu msuli ile ile mixer YouTube. Nikaanza kupiga practical ya live cent ya 1$ kwa 100$
Hahahah nusu mwaka no development leo nikipata profit ya 5$ kesho nachoma 20$
***** nikapiga chini na nishaisahau
We kenge 10 kwa hiyo humo sio mwa kuingia?. Sio kwamba uliingia kwa speed?. Ulianza vibaya?
 
Back
Top Bottom