Kilimo cha mpunga cha uhakika kipo kwenye scheme kama kapunga vile lakini sasa ni ghali sana faida yake ni ndogo japo kuvuna ni uhakika.Mpunga kuna mwana alipoteza 2M alafu maji hayakutosha aisee hakulamba hata mchele robo
Kilimo cha mpunga cha uhakika kipo kwenye scheme kama kapunga vile lakini sasa ni ghali sana faida yake ni ndogo japo kuvuna ni uhakika.Mpunga kuna mwana alipoteza 2M alafu maji hayakutosha aisee hakulamba hata mchele robo
We acha tu!Ilikuwaje mkuu.
Hahaha kuna cousin wangu aliwekeza kwenye kilimo cha nyanya,alikopa km laki 7 na 80
Ilikuwa wakivuna tenga litauzwa kwa 4,500.
Daah kutahamaki wkt wa mavuno biashara ikuwa hovyo,nyanya kila mahara tenga mia 7
Alijuta na pesa ilikuwa ya mkopo
Kama mimi nimepoteza muda sana kwenye mpunga mpaka sioni pakwenda mtaji wote umekata sijui hata nianzie wapi ila kilimo ni zaidi ya noma labda kilimo cha matunda/miti kinaweza kua ahueni.
Uliambiwa wachina ndio watakua wanunuzi nini mkuu?Nimetumia Zaidi Ya 1M Kulima Mihogo,
Haikurudi Hata 100 !
Jamaa wa Greenhouse watakuuzia vifaa,madawa,mbegu etc ikifika muda wa kutafuta soko la hizo nyanya&mbogamboga nakwambia utazila na familia yako na majirani mkuu.Sijajua greenhouse farming huenda ikawa ipo poa zaidi.
Aisee alafu zinaoza fasterHahaha kuna cousin wangu aliwekeza kwenye kilimo cha nyanya,alikopa km laki 7 na 80
Ilikuwa wakivuna tenga litauzwa kwa 4,500
Daah kutahamaki wkt wa mavuno biashara ikuwa hovyo,nyanya kila mahara tenga mia 7
Alijuta na pesa ilikuwa ya mkopo
Una roho nyepesi, hufai kuigwa na jamii.Wewe mimi kabisa hii biashara niliitamani nimenunua boda nikampa dereva mwanzoni hela ya hesabu wanaleta vizuri kati wanabadilika mpaka hela ya hesabu ikifika mimi ndio nimtafute na kumfata kwake jamani hii biashara ina presha mwisho wa siku nikaiuza na boda yenyewe sitaki hata kuisikia mtu aniambie mambo ya kufanya biashara ya boda
Sio kwa kicheko hicho mamaaa. Lazima kuna jambo
Nimecheka vile mnafanana na baba yakoSio kwa kicheko hicho mamaaa. Lazima kuna jambo
dah nacheka kama mazuri vileMpunga kuna mwana alipoteza 2M alafu maji hayakutosha aisee hakulamba hata mchele robo
Mkuu ulikua unalimia wap!? Changamoto kubwa Zaid ilikua ni ipiKama mimi nimepoteza muda sana kwenye mpunga mpaka sioni pakwenda mtaji wote umekata sijui hata nianzie wapi ila kilimo ni zaidi ya noma labda kilimo cha matunda/miti kinaweza kua ahueni.
AahahahaaNimecheka vile mnafanana na baba yako