rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,448
- 41,808
Katika hustle za maisha huwa watu tunajaribu Biashara mbalimbali ili kuweza kufanikisha malengo yetu lakini wengi wetu huweka mitaji mikubwa pengine pesa za kukopa na mwisho wa siku changamoto zikiwa nyingi tunakata tamaa na kuacha.
Mimi binafsi nakumbuka nilianza biashara ya kuuza saa na viatu vya kike lakini changamoto kubwa ikawa ubora wa zile bidhaa. Aisee nilipata malalamiko mengi sana nikaamua kuacha. Laiti ningejua ningeboresha ubora wa zile bidhaa tu pengine leo ningekuwa na mtaji mkubwa sana.
Karibuni tushirikishane kuhusu biashara gani ulianzisha, changamoto ulizopitia na ulizitatua vipi au uliacha?
Uzi huu unaweza kuwa mwanga kwa watu wengine pia.
Mimi binafsi nakumbuka nilianza biashara ya kuuza saa na viatu vya kike lakini changamoto kubwa ikawa ubora wa zile bidhaa. Aisee nilipata malalamiko mengi sana nikaamua kuacha. Laiti ningejua ningeboresha ubora wa zile bidhaa tu pengine leo ningekuwa na mtaji mkubwa sana.
Karibuni tushirikishane kuhusu biashara gani ulianzisha, changamoto ulizopitia na ulizitatua vipi au uliacha?
Uzi huu unaweza kuwa mwanga kwa watu wengine pia.