C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,070
- 3,718
wakuu habari yenu..
Nina swali nauliza na ninafanyia research...
Ni biashara gani ina soko na bado haijapamba moto tanzania afrika..?? Kwamba ni biashara ipi either products na services makampuni yanayo serve yako europe na marekani kiasi kwamba ukianzisha kampuni yako hapa nchini na kusin mwa jangwa la sahara ni bonge la deal??
Nina swali nauliza na ninafanyia research...
Ni biashara gani ina soko na bado haijapamba moto tanzania afrika..?? Kwamba ni biashara ipi either products na services makampuni yanayo serve yako europe na marekani kiasi kwamba ukianzisha kampuni yako hapa nchini na kusin mwa jangwa la sahara ni bonge la deal??