Mbekenga
JF-Expert Member
- Jun 14, 2010
- 3,262
- 8,093
Hapo chuoni kuna watu wana vibanda vya aina zote za biashara na ndiyo shughuli yao. Utashindana nao vipi?
Kama unasoma Sayansi sahau biashara. Kama umechaguliwa kozi zingine lainilaini endelea kusubiri maoni. Kusoma pia ni uwekezaji. Mshika mbili moja humponyoka.
Kama unasoma Sayansi sahau biashara. Kama umechaguliwa kozi zingine lainilaini endelea kusubiri maoni. Kusoma pia ni uwekezaji. Mshika mbili moja humponyoka.