CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,475
Ikumbukwe hadi sasa TFF (Tanzania) tuna points 27.5 huko Caf zililizowezesha nchi kuingiza teams 4 yaani simba ana 24, namungo 2.5, utopwenga 1
Simba ni ya 15 kwa sasa ,namungo ni ya 60 hivyo biashara kiingia makundi atalamba points zake 2.5 na kumfikia namungo kwenya nafsi ya 60 huku mabingwa wa kuchonga mdomo utopwinyo wakiwa nafasi ya 74 na point yao 1 (tangu 2017)na inatarajiwa mwaka huu watashuka zaidi
* kwa wasiojua hii ni CAF 5 YEARS RANKING SYTEM ,endeleeni na utoto wenu wa kutolewa rounds za awali kila siku na mikwara ya mdomoni na makanjanja yenu ya media
Simba ni ya 15 kwa sasa ,namungo ni ya 60 hivyo biashara kiingia makundi atalamba points zake 2.5 na kumfikia namungo kwenya nafsi ya 60 huku mabingwa wa kuchonga mdomo utopwinyo wakiwa nafasi ya 74 na point yao 1 (tangu 2017)na inatarajiwa mwaka huu watashuka zaidi
* kwa wasiojua hii ni CAF 5 YEARS RANKING SYTEM ,endeleeni na utoto wenu wa kutolewa rounds za awali kila siku na mikwara ya mdomoni na makanjanja yenu ya media