Mawembasa1979
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 2,152
- 2,500
Kuku wa kienyeji hawana changamoto kubwa sana ya maradhi kama eneo lako la ufugaji unaliweka katika hali ya usafi na kutoingiliana na kuku wa jirani.Ufigaji wa kuku unahiyaji pesa mkuu.
Magonjwa? Chakula, banda n.k
Ufugaji unafaida kama na kama tu unamtaji