dr.malulu
Senior Member
- Jun 26, 2013
- 133
- 60
Kwa wafanya biashara..Fanya biashara hizi kuelekea uchaguzi mkuu.
1. Stationary (business card za wabunge, madiwani, n.k)
2. Ku print t-shirt
3. Kituo cha redio hata chenye masafa mafupi .eg. E-FM wanapiga pesa sasa hivi
4. Music system. MC tena ukiwa na malori ya kubebea huo mziki wako ndo swafiiii kabisaaa
5. Mapambo ya majukwaa
6. Mchawi/mganga hasa ukiwa na dawa ya mtu kupata mvuto.
7. Kukopesha kwa dhamana ya nyumba au magari kwa pesa kidogo ili akishindwa kulipa iwe mwisho wake.
8. Vyombo vya usafiri kama mabasi, costa na DCM
9. Wale wenye vikundi vya mazoezi,goging hasa zenye watu wengi(wanachama),pigeni pesa mmalizie nyumba zenu
10.Mabaunsa ndo wakati wenu sasa hv, wanasiasa wanahitaji ulinzi mkubwa. pesa pesa sasa iv
Ongeza zingine kama zipo....
1. Stationary (business card za wabunge, madiwani, n.k)
2. Ku print t-shirt
3. Kituo cha redio hata chenye masafa mafupi .eg. E-FM wanapiga pesa sasa hivi
4. Music system. MC tena ukiwa na malori ya kubebea huo mziki wako ndo swafiiii kabisaaa
5. Mapambo ya majukwaa
6. Mchawi/mganga hasa ukiwa na dawa ya mtu kupata mvuto.
7. Kukopesha kwa dhamana ya nyumba au magari kwa pesa kidogo ili akishindwa kulipa iwe mwisho wake.
8. Vyombo vya usafiri kama mabasi, costa na DCM
9. Wale wenye vikundi vya mazoezi,goging hasa zenye watu wengi(wanachama),pigeni pesa mmalizie nyumba zenu
10.Mabaunsa ndo wakati wenu sasa hv, wanasiasa wanahitaji ulinzi mkubwa. pesa pesa sasa iv
Ongeza zingine kama zipo....