ESCORT 1
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 1,267
- 2,519
Tuliahidiwa bei zimeshushwa kodi hivyo hata bei itapungua, lakini mpaka leo utekelezaji unasuasua, sasa wadau naomba tupaze sauti ni lini serikali yetu tukufu itapunguza bei ya bia ili sisi wanywaji tuendelee kuchangia kodi kwa spidi kweri kweriii