Bia gani inafaa kwa mtu anayeanza kunywa?

Wadau mambo vipi?

Naomba kuuliza jambo juu ya swala la pombe mimi sijawahi kunywa pombe ila kila siku huwa natamani kujaribu kunywa ila kinachoniogopesha sijui nita react vipi baada ya kulewa nahofia nisije nikavua nguo au nikatukana watu.

Naomba ushauri ni bia gani inafaa kwa biginers na inywewe kwa kiwango gani ili nisilewe kupitiliza na ambayo kidogo ni tamu au kama kuna wine tam tam na ambayo siyo kali nielewesheni.

Wakuu ahsanteni

Naimani kunywa pombe sio vibaya ila cha msingi ni kuwa na kiasi so mtu yoyote asini crash.
Unafikri pombe itakuongezea nini katika maisha yako?
 
Asante kwa swali murua kama hili ndugu yangu.

Kwanza nikukaribishe kwenye chama chetu naamini utafurahi maisha yako yote ukiwa chamani.

Kwa historia fupi mimi nilianza kunywa pombe nikiwa mdogo saana... wengine tumekulia matejoo maza mama muuza basi sisi watoto wa matejoo ukililia pipi unamiminiwa gongoo/piwa kidogo kwenye baby cup yako unatulia.

Sasa bwana ukitaka uanze pombe wewe anza kujichanganya na wanywaji... wakiagiza bia wewe itisha pepsi au maji kisha omba glass wakumiminie kidogo kumbuka mlevi kukugawia pombe yake inahitaji ushawishi ila ukiwaelewesha unataka uchukue kadi upo intern watakupatia.

Kidogo kidogo utazoea..anza na nusu bia bia moja mbili...safari moja huanzisha nyingine. Usije ukaparamia nyagi valuuu wala gongo wewe anza na bia.

Asprin atajazia nyama palipo na mfupa.
Ngoja nifuate ushauri huu
 
6b150527756a7694fcc1e1154291a381.jpg

Hii itakufaa zaidi mkuu
Mkuu nimeipenda hiyo inapatikana wapi au ni mafinga tu?
 
Wadau mambo vipi?

Naomba kuuliza jambo juu ya swala la pombe mimi sijawahi kunywa pombe ila kila siku huwa natamani kujaribu kunywa ila kinachoniogopesha sijui nita react vipi baada ya kulewa nahofia nisije nikavua nguo au nikatukana watu.

Naomba ushauri ni bia gani inafaa kwa biginers na inywewe kwa kiwango gani ili nisilewe kupitiliza na ambayo kidogo ni tamu au kama kuna wine tam tam na ambayo siyo kali nielewesheni.

Wakuu ahsanteni

Naimani kunywa pombe sio vibaya ila cha msingi ni kuwa na kiasi so mtu yoyote asini crash.
Kama hutumii pombe endelea hivyohivyo
 
Wadau mambo vipi?

Naomba kuuliza jambo juu ya swala la pombe mimi sijawahi kunywa pombe ila kila siku huwa natamani kujaribu kunywa ila kinachoniogopesha sijui nita react vipi baada ya kulewa nahofia nisije nikavua nguo au nikatukana watu.

Naomba ushauri ni bia gani inafaa kwa biginers na inywewe kwa kiwango gani ili nisilewe kupitiliza na ambayo kidogo ni tamu au kama kuna wine tam tam na ambayo siyo kali nielewesheni.

Wakuu ahsanteni

Naimani kunywa pombe sio vibaya ila cha msingi ni kuwa na kiasi so mtu yoyote asini crash.
we kichaa kweli..watu wanaomba ushauri wa kufaulu maisha, we unaomba ulevi..nonsense
 
Asante kwa swali murua kama hili ndugu yangu.

Kwanza nikukaribishe kwenye chama chetu naamini utafurahi maisha yako yote ukiwa chamani.

Kwa historia fupi mimi nilianza kunywa pombe nikiwa mdogo saana... wengine tumekulia matejoo maza mama muuza basi sisi watoto wa matejoo ukililia pipi unamiminiwa gongoo/piwa kidogo kwenye baby cup yako unatulia.

Sasa bwana ukitaka uanze pombe wewe anza kujichanganya na wanywaji... wakiagiza bia wewe itisha pepsi au maji kisha omba glass wakumiminie kidogo kumbuka mlevi kukugawia pombe yake inahitaji ushawishi ila ukiwaelewesha unataka uchukue kadi upo intern watakupatia.

Kidogo kidogo utazoea..anza na nusu bia bia moja mbili...safari moja huanzisha nyingine. Usije ukaparamia nyagi valuuu wala gongo wewe anza na bia.

Asprin atajazia nyama palipo na mfupa.
Hahahah we in mwehu kweli.......
 
Back
Top Bottom