Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Katika hali isiyo ya kawaida makampuni ya bia nchini yamejipandishia bei za bia kienyeji bila kuwataarifu wateja wao.Hali hii imetokea kuanzia jumapili tr 08 feb 2009.
Tumezoea kunywa kwa mfano Kilimanjaro na Safari kwa sh.1200/= zimepanda mpaka 1300 na 1400 huku Castle na Serengeti tulikuwa tunakunywa kwa sh.1300/= kwa sasa imepanda mpaka 1400 na 1500.
Napenda kulalamika kwa makampuni husika kwa kupandisha bei gafla bila kuwataarifu wateja wao husika na hii imeleta kero sana kwa sisi wanywaji mpaka tukajua tunaibiwa.
Kama inawezekana tunaomba serikali iunde chombo cha kusimamia bei za bidhaa kama ilivyo kwa nyanja zingine kama kwenye mafuta na usafiri kuna EWURA.
Ukiangalia kwa undani zaidi makampuni ya pombe ndo walipaji wazuri wa kodi nchini ukilinganisha na nyanja zingine kama madini,kilimo n.k
Tumezoea kunywa kwa mfano Kilimanjaro na Safari kwa sh.1200/= zimepanda mpaka 1300 na 1400 huku Castle na Serengeti tulikuwa tunakunywa kwa sh.1300/= kwa sasa imepanda mpaka 1400 na 1500.
Napenda kulalamika kwa makampuni husika kwa kupandisha bei gafla bila kuwataarifu wateja wao husika na hii imeleta kero sana kwa sisi wanywaji mpaka tukajua tunaibiwa.
Kama inawezekana tunaomba serikali iunde chombo cha kusimamia bei za bidhaa kama ilivyo kwa nyanja zingine kama kwenye mafuta na usafiri kuna EWURA.
Ukiangalia kwa undani zaidi makampuni ya pombe ndo walipaji wazuri wa kodi nchini ukilinganisha na nyanja zingine kama madini,kilimo n.k
Last edited: