Bi Kidude: Kazi tangu 1920, umri zaidi ya miaka 99 ila nyonga yake balaa!

Leornado

JF-Expert Member
Nov 12, 2010
1,533
196
She is our Taarab star hilo sina ubishi nalo na ninamuheshimu sana. Tatizo la Bi Kidude ni umri wake kila siku kubadilika mara miaka 104, mara 70 mara 99.........

Ila ananiachaga hoi kwa vituko.






Hebu mcheki Bibi wa miaka 90?????
 
Bi Kidude?s exact date of birth is unknown, much of her life story is uncorroborated, giving her an almost mythical status. Kidude started out her musical career in the 1920s, and learnt many of her songs with Siti bint Saad. She has performed in countries all around Europe, Middle East and Japan and finally recorded her first solo album (?Zanzibar?, Retroafric Recordings) only six years ago, while in her mid-eighties. Recently she released a second locally-produced album (?Machozi ya Huba?, Heartbeat Records) with her traditional drums influencing the burgeoning Zenji Flava local hip-hop scene in one of the most remarkable juxtapositions of musical style in modern ?World Music?.

By World Music Central.org.
 
Huyo ndo Kidude binti Baraka.

Kuna kipindi alinadiwa kafa ( alizimia kwenye concert Ufaransa) basi kuikanyaga ardhi ya tz tu akatengeza t/shirt zimeandikwa "kidude kafufuka" akavaa mitaani!
 
Mie aliniacha hoi kwenye intervyuu na redio aliposema kati vitu anavyojivunia alipoalikwa kutumbuiza kwa Malkia Elizabeth ni kuwa ALIRUHUSIWA KUJISAIDIA KWENYE CHOO CHA KIFALME......afu akauliza kwa kebehi wangapi humu mmewahi kukojoa ulaya achilia mbali kwenye Kasri la Eliza...

She is funny.
 
lol....she is funny. I wish she retires ....I don't see a reason why still entertaining, we can't deny she used to have lovely voice but not anymore. For me, she will earn more respect if she leaves the legend behind otherwise just protrait how desperate she is to make money or in otherwise simply njaaa.
 
Akipiga ngoma live, anafiti kila idara...

f2.jpg
 
Ikiwa afya yake inamruhusu aendelee kuimba (hata kama sio kutumbuiza ikiwa sauti yake imeshafifia). Ndio maisha yake, starehe yake, ndio ajira yake, ndilo pekee analojuwa kufanya. Tukumbuke kuwa waimbaji hawana kiinua mgongo wala pensheni. Siku akilazimishwa kuimba atafariki tu. Na ikiwa kuimba kwake ndiko kunakompatia tonge yake, kwa nini asiendelee?.

Kuhusu umri, si kila mtu Tz aliwekewa kumbukumbu za maandishi na wazazi wake. Kumbukumbu zetu ndio hivyo hivyo tu: mara kazaliwa mwaka njaa kali, mwaka wa kimbunga, mwaka wa zima taa... hakuna hata tarehe sikwambii siku. Lakini kwa hesabu za chapchap atakuwa na miaka isiyopungua 96. Tuchukulie alianza kuimba mwaka 1929 akiwa na umri wa miaka 15, kwa hiyo atakuwa alizaliwa mwaka 1914. Sasa ikiwa alianza kuimba mwanzoni mwa miaka ya 20, anaweza kuwa na umri wa mika 100 na upuuzi. La muhimu, bado anadunda.
 
Ikiwa afya yake inamruhusu aendelee kuimba (hata kama sio kutumbuiza ikiwa sauti yake imeshafifia). Ndio maisha yake, starehe yake, ndio ajira yake, ndilo pekee analojuwa kufanya. Tukumbuke kuwa waimbaji hawana kiinua mgongo wala pensheni. Siku akilazimishwa kuimba atafariki tu. Na ikiwa kuimba kwake ndiko kunakompatia tonge yake, kwa nini asiendelee?.

Kuhusu umri, si kila mtu Tz aliwekewa kumbukumbu za maandishi na wazazi wake. Kumbukumbu zetu ndio hivyo hivyo tu: mara kazaliwa mwaka njaa kali, mwaka wa kimbunga, mwaka wa zima taa... hakuna hata tarehe sikwambii siku. Lakini kwa hesabu za chapchap atakuwa na miaka isiyopungua 96. Tuchukulie alianza kuimba mwaka 1929 akiwa na umri wa miaka 15, kwa hiyo atakuwa alizaliwa mwaka 1914. Sasa ikiwa alianza kuimba mwanzoni mwa miaka ya 20, anaweza kuwa na umri wa mika 100 na upuuzi. La muhimu, bado anadunda.

Hivi si kuna kile kifaa cha kupima umri mara nyingi wanapimaga wanamichezo kujua kama wamedanganya umri, kingetumika kujua umri wa huyu bibi, au Bi Kidude mzee sana hadi kifaa kitadunda na kushindwa soma vinasaba vyake ana miaka mingapi???
 
Namtamani halafu unamkumbusha enzi zake nione kama anakumbuka au mashauzi ya kwenye taarabu!
 
Namtamani halafu unamkumbusha enzi zake nione kama anakumbuka au mashauzi ya kwenye taarabu!

Mziki wa bi kidude utauweza?? ucje mfia kifuani. Anakwambia hakuwahi kuoa wala kuolewa. Jiulize kwa nini...
 
Nimewahi,soma history yake katika broadsheet ya Times la england-surely no other tanzanian musican has scaled such heights
 
Mziki wa bi kidude utauweza?? ucje mfia kifuani. Anakwambia hakuwahi kuoa wala kuolewa. Jiulize kwa nini...

Please get your facts right, the old woman got married more than twice and uncounted lovers who exploited her. I heard form reliable person, during her early age, she used to cover her face while singing allikuwa self conscious with her looks.
 
Please get your facts right, the old woman got married more than twice and uncounted lovers who exploited her. I heard form reliable person, during her early age, she used to cover her face while singing allikuwa self conscious with her looks.

May be u r ryte, kuna hii interview hapa maelezo aliyowapa hakusema kama aliolewaga na akadai ana miaka 113...
Dina Marios: BIBI NA WAJUKUU
 
Hivi si kuna kile kifaa cha kupima umri mara nyingi wanapimaga wanamichezo kujua kama wamedanganya umri, kingetumika kujua umri wa huyu bibi, au Bi Kidude mzee sana hadi kifaa kitadunda na kushindwa soma vinasaba vyake ana miaka mingapi???
you mean carbon 14?
 
Mie aliniacha hoi kwenye intervyuu na redio aliposema kati vitu anavyojivunia alipoalikwa kutumbuiza kwa Malkia Elizabeth ni kuwa ALIRUHUSIWA KUJISAIDIA KWENYE CHOO CHA KIFALME......afu akauliza kwa kebehi wangapi humu mmewahi kukojoa ulaya achilia mbali kwenye Kasri la Eliza...

She is funny.


Aaah , nimeipenda sana hii mkuu.. too funny
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom