Bi Kidude Enzi Zake alivyokuwa kijana na sasa jinsi alivyo

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,299
33,082
Binadamu tumetoka mbali ehhhhhhhhhhhhhhhhhh. Waswahili Wanasema mithali hii(Hujafa hujaumbika)

Bafore and After.
attachment.php
 

Attachments

  • bikidude.jpg
    bikidude.jpg
    39.1 KB · Views: 6,728
With old age comes wisdom,...teh teh teh! Akubali yaishe tu maana hakuna la kufanya ukifikia umri huo. Ronald Reagan pia ni shuhuda wa umri kututupa mkono.
 
With old age comes wisdom,...teh teh teh! Akubali yaishe tu maana hakuna la kufanya ukifikia umri huo. Ronald Reagan pia ni shuhuda wa umri kututupa mkono.
Mkuu Ndahani Kila kitu kina mwanzo wake an mwisho wake aliye juu mngojee chini tu atashuka akitaka asitake.
 
Last edited by a moderator:
Mbona hakuna tofauti? Picha zote ZAFANANA!
Mkuu Nzenzu angalia Vizuri alivyokuwa kijana wa miaka kati ya 30 au 40 na hiyo picha ya juu na sasa mwenye miaka zaidi ya 90 zipo sawa hizo picha ?unayo macho? au umeva miwani ya mbao?

bi%2Bkidude.jpg

Bi Kidude Enzi za ujana wake.


l.jpg

Bi Kidude wa sasa.


bi_kidude_340.jpeg

Bi Kidude Mashallah.....

kidude.jpg



Bi-Kidude-en-concert-3-TR.jpg


4759429291_ef5e276d92_b.jpg


17a4b3512c3a1bbf6b01463010bda065.jpg
 
Last edited by a moderator:
hata picha za wakati tuko watoto ama vijana wadogo wa miaka 18 hadi 20 hivi tulikuwa wazuri kuliko tulivyo sasa ambavyo tayari makunyanzi yameanza kujaa usoni.
 
Back
Top Bottom