Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,299
- 33,082
Mkuu Ndahani Kila kitu kina mwanzo wake an mwisho wake aliye juu mngojee chini tu atashuka akitaka asitake.With old age comes wisdom,...teh teh teh! Akubali yaishe tu maana hakuna la kufanya ukifikia umri huo. Ronald Reagan pia ni shuhuda wa umri kututupa mkono.
Binadamu tumetoka mbali ehhhhhhhhhhhhhhhhhh. Waswahili Wanasema mithali hii(Hujafa hujaumbika)
Bafore and After.
Mkuu Nzenzu angalia Vizuri alivyokuwa kijana wa miaka kati ya 30 au 40 na hiyo picha ya juu na sasa mwenye miaka zaidi ya 90 zipo sawa hizo picha ?unayo macho? au umeva miwani ya mbao?Mbona hakuna tofauti? Picha zote ZAFANANA!
Nikikumbuka uzee silali, mie sasa hivi nikicheka yaani ndita zinajaa usoni
Naogopa ila sina cha kufanya