Ochumeraa
JF-Expert Member
- May 18, 2015
- 4,504
- 5,707
Kwamba huyu ni ndege🤔🤔🤔Good bye JF!good bye ndege JOHN
Dakika chache kuanzia Sasa ID hii ya ndege JOHN Inafungwa rasmi Tukio la ku log out na kufuta app ya Jf nilitaka nilifanye Jana Ila mambo yakawa mengi baada ya pigo la gwajima kuingilia safari yangu ila leo Niko serious kabisa ninawaaga rasmi kwa kusema good bye. 17:38 Wed,may 8www.jamiiforums.com