Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,900
- 30,235
- Thread starter
- #61
California,Hakuna kitu kinachoitwa jina la kiislam au jina la kikristo. Kuna jina la kiarabu au 'kizungu'. Uislam umetumika kueneza tamaduni za kiarabu kama ambavyo ukristo umetumika kueneza tamaduni za kizungu. Matokeo yake utambulisho wa kiafrika umepotea kabisa sababu ya kuwa brainwashed.
Watu wa Makka walipoingia Uislam waliendelea na majina yao yale yale ya zamani waliyopewa na wazazi wao.
Hakuna aliyebadilishwa jina kwa kuwa kawa Muislam.