sizy
Member
- Jun 14, 2010
- 29
- 4
Askari polisi anayejulikana kwa jina la Ester ambaye anafanya kazi katika ofisi ya polisi Manyoni amempiga na kumvuja mkono bi Anna anayeishi katika mtaa Kaloleni.
Taarifa za awali zina sema kwamba Polisi huyo alifika nyumbani kwa bi Anna kwa ajili ya kumkamata kwa sababu ya kutuhumiwa na majirani kwamba anawatesa watoto wake.
Polisi huyo badala ya kumchukua Bi Anna na kumpeleka kituoni, alianza kumpiga na baadaye kwa kumvunja mkono kwa kutumia mpini wa jembe la mkono.
Taarifa hizi zilimfikia OCD wa wilaya ya Manyoni naye kuamru apewe PF3 na apelekwe hospital ili kuthibitisha kama mkono huo umevunjika
Dakitari wa Hospital ya wilaya ya Manyoni Dr. Mollel alithibitisha Mkono wa Bi Anna Kuvunjika ila haukusababishwa na Kipigo cha Askari bali ulivunjika wenyewe na siyo siku ya kipigo.
Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni.
Watu wanajiuliza iweje mtu avunjike mkono halafu aendelee kukaa nyumbani pasi na Matibabu!? Je Dr alikuwa katika hali gani kiyajua haya! Afande Ester aliwezaje kumpa kipondo mtu ambaye ni tayari mgonjwa aliyevunjika mkono!?
Wito wetu ni kuviomba vyombo vyenye mamlaka kulifanyia uchunguzi hili, haki itendeke!
[HASHTAG]#VoiceForVoiceless[/HASHTAG]
[HASHTAG]#WeNeedJustice[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Fight4Manyoni[/HASHTAG]
Taarifa za awali zina sema kwamba Polisi huyo alifika nyumbani kwa bi Anna kwa ajili ya kumkamata kwa sababu ya kutuhumiwa na majirani kwamba anawatesa watoto wake.
Polisi huyo badala ya kumchukua Bi Anna na kumpeleka kituoni, alianza kumpiga na baadaye kwa kumvunja mkono kwa kutumia mpini wa jembe la mkono.
Taarifa hizi zilimfikia OCD wa wilaya ya Manyoni naye kuamru apewe PF3 na apelekwe hospital ili kuthibitisha kama mkono huo umevunjika
Dakitari wa Hospital ya wilaya ya Manyoni Dr. Mollel alithibitisha Mkono wa Bi Anna Kuvunjika ila haukusababishwa na Kipigo cha Askari bali ulivunjika wenyewe na siyo siku ya kipigo.
Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni.
Watu wanajiuliza iweje mtu avunjike mkono halafu aendelee kukaa nyumbani pasi na Matibabu!? Je Dr alikuwa katika hali gani kiyajua haya! Afande Ester aliwezaje kumpa kipondo mtu ambaye ni tayari mgonjwa aliyevunjika mkono!?
Wito wetu ni kuviomba vyombo vyenye mamlaka kulifanyia uchunguzi hili, haki itendeke!
[HASHTAG]#VoiceForVoiceless[/HASHTAG]
[HASHTAG]#WeNeedJustice[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Fight4Manyoni[/HASHTAG]