Mdogowake anaitwa julia nimeishi.nae sana maryland Washington
Kwahiyo ni watoto wa Madaraka aliozaa na yule mama aliyekuwa mbunge wa Chadema?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdogowake anaitwa julia nimeishi.nae sana maryland Washington
Wamsema chief rocka mkuu.Kuna mjukuu mmoja anaitwa Julius..super humble ..ana integrity sana
Huyu Julius ni maarufu sana mkuu.Nyerere alikuwa na watoto wengi mnaposema mjukuu muwe mnawataja na wazazi wao!! Sasa huyo Julius ni mtoto wa Nani? Anna au marehemu John?
Hujanijibu, huyu Julius ni mjuu wa Mwalimu mzazi wake ni nani? Mtoto wa Makongoro? Au ni mtoto wa mdogo wake Nyerere m?arehemu JosephHuyu julius ni maarufu sana mkuu.
Aliimba mziki pia ila alijua kuficha identity yake sana...
Yah ni mtoto wa huyu mkuu wa mkoa wa Manyara kwa sasa bwa. Makongoro.Hujanijibu, huyu Julius ni mjuu wa Mwalimu mzazi wake ni nani? Mtoto wa Makongoro?
Utafiti tayari!!!Vipaji vya uongozi siku zote vinaonekana kwa wajukuu na sio watoto sijui kwanini. Mimi bibi yangu alikuwaga diwani wa CCM huko Tarime na kwa watoto wake sijaona hata mmoja ila kwa wajukuu yupo dada yangu mtoto wa mama mkubwa yaaani ni CCM damu na anajua sana siasa.
Mbona nilisikia kuwa ni mtoto wa STIVE NYERERE!!!?Bhoke amezaliwa Canada. Kwa hiyo technically nadhani ni raia wa Canada?
Bhoke ni mtoto wa Anna Nyerere.
Duuuih hii kaliNakupinga tena kwa 100% unaposema Mjane amerudishwa Tabasamu wakati tunaomjua tokea akiishi na aliyeondoka hapo Ada Estate hivi sasa tunamuona ndiyo akiwa na Furaha, Nuru yake inarejea na hata ule Uzuri wake wa Asili uliokuwa umefunikwa na Mateso na Manyanyaso huku akidharauliwa mno nao umeanza kurejea...
Mbona nilisikia kuwa ni mtoto wa STIVE NYERERE!!!?
Hapa sijaelewa.Usidhani bhoke yuko na bibi yetu ,yuko kazini pia
Hivi mtu unajitoaje ufahamu kutoa hitimisho kuhusu furaha ya moyoni ya mtu tena kuhusu matrimonial issues kama ndoa?!? Tunazidishaga ujuaji.Nakupinga tena kwa 100% unaposema Mjane amerudishwa Tabasamu wakati tunaomjua tokea akiishi na aliyeondoka hapo Ada Estate hivi sasa tunamuona ndiyo akiwa na Furaha, Nuru yake inarejea na hata ule Uzuri wake wa Asili uliokuwa umefunikwa na Mateso na Manyanyaso huku akidharauliwa mno nao umeanza kurejea.
Pongezi kwa Mwonekano wake wa sasa hasa Mnyoo wake kwani umemuongezea Thamani yake maradufu. Mjane ana Tabasamu zuri ambalo Mwanaume yoyote Rijali ukibahatika Kukumbana nalo ni lazima tu utaingia Kingi na Kumpenda kama ilivyokuwa Kwake Mkemia wa Chato. Mjane ni Photogenic sana tena Kuwazidi First Ladies wote wa Tanzania.
Picha yake tafadhaliBhoke Nyerere alisoma shule ya msingi forodhani na kuhitimu darasa la saba mwaka 1988.
Kazi nikazi ,kumsindikiza bibi nayo nikazi ,majukumu na uhakikishe yukosawaHapa sijaelewa.
Au Marco(makongolo),taarifa za jumlajumla mnatuchanganyaNyerere alikuwa na watoto wengi mnaposema mjukuu muwe mnawataja na wazazi wao!! Sasa huyo Julius ni mtoto wa Nani? Anna au marehemu John?
Tupia picha tafadhali.Anayefanya kazi bank ya stanbick ni Edward ni mtoto wa captain John nyerere na ndie alikuwa memba wa rackas ....bhoke ni mtoto wa madaraka
Mbona shule ya msingi kasoma Dar na mpaka leo yupo Dar wakati alitakiwa kuwa diasporaBhoke amezaliwa Canada. Kwa hiyo technically nadhani ni raia wa Canada?
Bhoke ni mtoto wa Anna Nyerere.
Kumbe ni mtu mzima!Bhoke Nyerere alisoma shule ya msingi forodhani na kuhitimu darasa la saba mwaka 1988.
Alivumilia snNikweli amenawili sana mama Janet, inaonyesha wakati wa uhai wa mumewe hakuwa na amani sana