Pamoja na Uchafu wote wanaoufanya, dada zetu wa BBA Bhoke na Lotus eti wanasema wanawawakilisha watanzania na wala hawajiwakilishi wao, so wanaomba kura yako wabaki ndani ya BBA. Ifuatayo chini ni taarifa toka Blog ya Michuzi .
http://issamichuzi.blogspot.com/2011/05/lets-all-please-support-bhoke-and-lotus.html
Na hii ni Link ya Bhoke na Lotus ndani ya facebook.
http://www.facebook.com/pages/Bhoke-Lotus-for-BBA-Amplified-winners/201141539924214?ref=ts
jaman kwa nin wasipigiwe kura?mfumo dume utaish lin ktk jamii ya waafrka?dada yetu alfanya mwenyewe?mbona ernest halaumiwi?richard alikuwa anafanya nin na tatiana?tuache ujinga wa kuona mwanamke anachofanya n big isu,let us sapot them bse they not fake and that is da way they are.
Huyo Bokhe hawezi kupata kura yangu,mpaka aeleze kisa cha kulala kwenye jacuzzi na huyo kijana wa Kiganda live ni nini, au huo ndio utaratibu wa jumba????????? Jieleze Bhoke hapa kwenye jamvi, kuna kura nyingi hapa jitahidi!!!!!!!!Pamoja na Uchafu wote wanaoufanya, dada zetu wa BBA Bhoke na Lotus eti wanasema wanawawakilisha watanzania na wala hawajiwakilishi wao, so wanaomba kura yako wabaki ndani ya BBA. Ifuatayo chini ni taarifa toka Blog ya Michuzi .
http://issamichuzi.blogspot.com/2011/05/lets-all-please-support-bhoke-and-lotus.html
Na hii ni Link ya Bhoke na Lotus ndani ya facebook.
http://www.facebook.com/pages/Bhoke-Lotus-for-BBA-Amplified-winners/201141539924214?ref=ts