Kuhani
JF-Expert Member
- Apr 2, 2008
- 2,944
- 64
......anyway Mzee Munanka na alale kwa amani
Alale kwa amani vipi wakati ushammaliza siku nne mfululizo na post zako zinazojirudia rudia bila ku back up shutuma zako. Guilty conscious inakumaliza sasa hivi. Talk about flooding the forums!