Naomba tuweke rekodi sawa kwenye mjadala unaoendelea.
Kuna mjumbe alisema kwamba Mzee Munanka alikuwa importer wa magari ya scania, nadhani hapo ilikuwa kabla wa-Swede hawajajenga ile plant yao pale Kibaha.
Kijiji chetu (zama zile za ujamaa) kilifanikiwa kununua lori la scania mwaka 1978, hiyo ina maanisha kwamba hayo magari yalikuwepo kabla ya kujengwa kwa ile plant pale Kibaha.
Nikitumia maelezo ya Mkuu FMES Marquiz walianza kutumia mtindo wa Chenkeencha, telemuka tangu mwaka 1979 na hapo walikuwa wanatumia hiyo style ya LBT 111.
Labda tuulize sasa, before 1983 nani alikuwa akiingiza hayo magari hapa nchini kwa kuwa tayari yalikuwepo.
Wenye taarifa zaidi endeleeni kutuwekea then tutasoma na kujua kipi ni kipi.
Kuna mjumbe alisema kwamba Mzee Munanka alikuwa importer wa magari ya scania, nadhani hapo ilikuwa kabla wa-Swede hawajajenga ile plant yao pale Kibaha.
Kijiji chetu (zama zile za ujamaa) kilifanikiwa kununua lori la scania mwaka 1978, hiyo ina maanisha kwamba hayo magari yalikuwepo kabla ya kujengwa kwa ile plant pale Kibaha.
Nikitumia maelezo ya Mkuu FMES Marquiz walianza kutumia mtindo wa Chenkeencha, telemuka tangu mwaka 1979 na hapo walikuwa wanatumia hiyo style ya LBT 111.
Labda tuulize sasa, before 1983 nani alikuwa akiingiza hayo magari hapa nchini kwa kuwa tayari yalikuwepo.
Wenye taarifa zaidi endeleeni kutuwekea then tutasoma na kujua kipi ni kipi.