Bhangarh: Kijiji cha ajabu nchini India

Military Genius

JF-Expert Member
Mar 3, 2019
760
1,445
IMG-20200808-WA0001.jpg
Kinaitwa kijiji cha Bhangarh kinachopatikana nje ya mji wa Rajgarh, Alwar nchinj India, kijiji hiki kipo tangu mwaka 1573 lakini hadi sasa kinatajwa kuwa ni moja ya maeneo hatari zaidi kuyatembelea nchini humo.

Hadi mwaka 2001 kulikua na idadi ya wakazi 1,200 lakini baadaye walihama wote Kutokana na mauzauza yanayoendelea huko. Kila ikifika jioni hakuna mtu yeyote kuingia katika kijiji hicho.

Serikali imeweka makatazo mengi kwa watalii na wananchi wa kawaida kuwa hawaruhusiwi kutembelea maeneo hayo ikifika jioni, hata wachache waliotaka kushuhudia kunanini na kwenda usiku hawakuwahi kurejea.

Watalii kadhaa hutoa shuhuda kuwa waingiapo tuu ndani ya kijiji hicho hata nyakati za mchana hupoteza utulivu, huhisi kama wako na watu wengine wanaowafuata bila wao kuwaona.

Usichokifahamu ni kuwa hata hao watalii wanaopata nafasi kwenda kutalii huko ni raia wa India pekee, serikali ilipiga marufuku kwa watalii wa nje ya India kufika huko kutokana na wengi wao kuwahi kwenda na kutorejea tena.

Haijulikani bado sababu ya hayo yote ni nini, lakini inaaminika kuwa hali hizi zilianza miaka mingi nyuma wakati ngome mbili za watawala tofauti zilipojengwa kijijini hapo, na mmoja Guru Baru Nath alionyesha kuzidiwa, akaacha laana.

IMG-20200808-WA0001.jpg
 
Hawa jamaa utalii wao mkubwa ni wa majengo, wanajua kusifia na kuyakweza mitandaoni lakini ukifika hakuna chochote!

Mie nilikuwa na hamu na Lotus temple, ukiiona mitandaoni inavyosifiwa mpaka unaogopa!

Kufika pale ni jengo la kawaida sana, halina ishu yoyote ya maana! Ila wajinga wanatengeneza hela balaa kupitia utalii wa majengo! Sijui Tanzania tunakwama wapi kujenga majengi ya kitalii tunaishia kutangaza tembo na simba tuu kila mwaka!
 
Hawa jamaa utalii wao mkubwa ni wa majengo, wanajua kusifia na kuyakweza mitandaoni lakini ukifika hakuna chochote!

Mie nilikuwa na hamu na Lotus temple, ukiiona mitandaoni inavyosifiwa mpaka unaogopa!

Kufika pale ni jengo la kawaida sana, halina ishu yoyote ya maana! Ila wajinga wanatengeneza hela balaa kupitia utalii wa majengo! Sijui Tanzania tunakwama wapi kujenga majengi ya kitalii tunaishia kutangaza tembo na simba tuu kila mwaka!
.tunashindwa kujiongeza kabisa mkuuu
 
Hawa jamaa utalii wao mkubwa ni wa majengo, wanajua kusifia na kuyakweza mitandaoni lakini ukifika hakuna chochote!

Mie nilikuwa na hamu na Lotus temple, ukiiona mitandaoni inavyosifiwa mpaka unaogopa!

Kufika pale ni jengo la kawaida sana, halina ishu yoyote ya maana! Ila wajinga wanatengeneza hela balaa kupitia utalii wa majengo! Sijui Tanzania tunakwama wapi kujenga majengi ya kitalii tunaishia kutangaza tembo na simba tuu kila mwaka!
Hahahaha km hiki tulichokisoma hapa ,majengo ambayo yana mauza uza mbn bongo mengi tu , tunaweza kujibrand ila uvivu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna chochote ni Uongo mtupu, hiyo laana ya huyo mtawala iwapate watu wa nchi zingine tu badala ya haohao wahindi waliomuudhi?

Na binadamu wa sikuhizi walivyo curious hasa wazungu wangeshafika siku nyingi sana humo mpaka katikati ya hilo jengo
 
Hakuna chochote ni Uongo mtupu, hiyo laana ya huyo mtawala iwapate watu wa nchi zingine tu badala ya haohao wahindi waliomuudhi?

Na binadamu wa sikuhizi walivyo curious hasa wazungu wangeshafika siku nyingi sana humo mpaka katikati ya hilo jengo

mkuu,kwa sisi wafuatiliaji wa Historia tunaamini katika laana,kuna dogo aliitwa king tutnkanam alikuwa mtawala wa misri toka akiwa mdogo kabisa,na alikufa akiwa kijana
kwenye kaburi lake kumeandikwa “laana impate yeyote atakayemsumbuwa pharaoh katika usingizi wake” ,watu waliobomoa hilo kaburi na kuiba mali zake walikufa vifo vya ajabu sana mara tuu baada ya kutoka hapo.fuatilia historia ya Misri laana is real
 
mkuu,kwa sisi wafuatiliaji wa Historia tunaamini katika rahana,kuna dogo aliitwa king tutnkanam alikuwa mtawala wa misri toka akiwa mdogo kabisa,na alikufa akiwa kijana
kwenye kaburi lake kumeandikwa “rahana impate yeyote atakayemsumbuwa pharaoh katika usingizi wake” ,watu waliobomoa hilo kaburi na kuiba mali zake walikufa vifo vya ajabu sana mara tuu baada ya kutoka hapo.fuatilia historia ya Misri rahana is real

Laana..

Rahana ndo nini sasa?
 
mkuu,kwa sisi wafuatiliaji wa Historia tunaamini katika laana,kuna dogo aliitwa king tutnkanam alikuwa mtawala wa misri toka akiwa mdogo kabisa,na alikufa akiwa kijana
kwenye kaburi lake kumeandikwa “laana impate yeyote atakayemsumbuwa pharaoh katika usingizi wake” ,watu waliobomoa hilo kaburi na kuiba mali zake walikufa vifo vya ajabu sana mara tuu baada ya kutoka hapo.fuatilia historia ya Misri laana is real
Hiyo ni historia, inaweza kuwa ya kweli au ya uongo.

Sio kila historia ni ya kweli hata kama watu wanaiamini, hiyo ni sawa na habari ya kihistoria ya kumgrade Cleopatra kuwa alikuwa ni Mwanamke mzuri na hatatokea mwanamke mzuri kama yeye hitimisho la dunia.

Naamini katika Karma, unapomfanyia mtu au watu jambo baya basi ipo siku nawewe utatendwa tu.
 
Hiyo ni historia, inaweza kuwa ya kweli au ya uongo.

Sio kila historia ni ya kweli hata kama watu wanaiamini, hiyo ni sawa na habari ya kihistoria ya kumgrade Cleopatra kuwa alikuwa ni Mwanamke mzuri na hatatokea mwanamke mzuri kama yeye hitimisho la dunia.

Naamini katika Karma, unapomfanyia mtu au watu jambo baya basi ipo siku nawewe utatendwa tu.

mkuu ni Historia ya kweli,watu waliokutwa na laana hiyo walishuhudiwa kweli na picha zao zipo ni miaka ya 30-50 hapo.unaweza hata kuingia google ujisomee au kama unataka kuthibitisha mwenyewe jaribu kuchukua hizo mali za dhahabu mfano viti,sahani na vikombe vya farao alafu kinatachokutokea utathibitisha nachosema
 
mkuu ni Historia ya kweli,watu waliokutwa na laana hiyo walishuhudiwa kweli na picha zao zipo ni miaka ya 30-50 hapo.unaweza hata kuingia google ujisomee au kama unataka kuthibitisha mwenyewe jaribu kuchukua hizo mali za dhahabu mfano viti,sahani na vikombe vya farao alafu kinatachokutokea utathibitisha nachosema
nashukuru
 
Hiyo ni historia, inaweza kuwa ya kweli au ya uongo.

Sio kila historia ni ya kweli hata kama watu wanaiamini, hiyo ni sawa na habari ya kihistoria ya kumgrade Cleopatra kuwa alikuwa ni Mwanamke mzuri na hatatokea mwanamke mzuri kama yeye hitimisho la dunia.

Naamini katika Karma, unapomfanyia mtu au watu jambo baya basi ipo siku nawewe utatendwa tu.
.samahani unaweza ukapita na google kidogo
 
Hawa jamaa utalii wao mkubwa ni wa majengo, wanajua kusifia na kuyakweza mitandaoni lakini ukifika hakuna chochote!

Mie nilikuwa na hamu na Lotus temple, ukiiona mitandaoni inavyosifiwa mpaka unaogopa!

Kufika pale ni jengo la kawaida sana, halina ishu yoyote ya maana! Ila wajinga wanatengeneza hela balaa kupitia utalii wa majengo! Sijui Tanzania tunakwama wapi kujenga majengi ya kitalii tunaishia kutangaza tembo na simba tuu kila mwaka!
Posta palikuwa na majengo mengi ya zamani lakini yote yamevunjwa,mfano salamander,Magoti ect
 
Hawa jamaa utalii wao mkubwa ni wa majengo, wanajua kusifia na kuyakweza mitandaoni lakini ukifika hakuna chochote!

Mie nilikuwa na hamu na Lotus temple, ukiiona mitandaoni inavyosifiwa mpaka unaogopa!

Kufika pale ni jengo la kawaida sana, halina ishu yoyote ya maana! Ila wajinga wanatengeneza hela balaa kupitia utalii wa majengo! Sijui Tanzania tunakwama wapi kujenga majengi ya kitalii tunaishia kutangaza tembo na simba tuu kila mwaka!
Mkuu Lakini Hayo Ni Majengo Ya Zamani ambayo hata Sisi tunayo Bagamoyo,Zanzibar,Kilwa,Dodoma Kondoa,Pangani na kwengineko....
 
Back
Top Bottom