Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,938
- 1,437
Kutokana na taifa letu kila kitu kuwa siasa yatupasa hata ushauri na mawazo ya kitaalam tuweke kwenye siasa ili wanasiasa waone labda wakiwashauri wanasiasa na watendaji watayafanyia kazi .
Wabunge twale tuliowategemea kuwa ni vijana nguvu mpya hawaonekani kuwa na mwamko na mambo megine nje ya siasa. Sasa hii ni series.
Tunwaomba wabunge wetu vijana Kina zitto, myika, Mdee, Kingwala, J.makamba na wengineo. wafikishe Pendekezo hilo huko kwa mama Tibaijuka wa wizara ya ardhi
NB.
Meya wa rio-Dejenairo brazil mara mbili kwa wiki anasema lazima aingie googlemap kutazama ramani ya jiji lake. Aliingia matatani na google pale satelite yao ilipochukua picha za eneo kama la manzese ikaacha kuchukua picha maeneo ya vivutio.
Hiyo ni Google map Beyond Politics part I
Soma Beyond Polict part 2- Seriali inasubiri nini kujaribu magari ya Hybrid.
Wabunge twale tuliowategemea kuwa ni vijana nguvu mpya hawaonekani kuwa na mwamko na mambo megine nje ya siasa. Sasa hii ni series.
Tunwaomba wabunge wetu vijana Kina zitto, myika, Mdee, Kingwala, J.makamba na wengineo. wafikishe Pendekezo hilo huko kwa mama Tibaijuka wa wizara ya ardhi
- Goglemap ni driving force na reference inayotumika kwenye mambo mengi hivi sasa kama Utalii, usafiri, Biashara etc . Iwe ni kwa dunia au hat kwa nchi.
- Bara bara na majina ya mitaa ya kwenye ramani za Tanzania hajakamilika.
- Hata mikoa mikubwa kama Dar, Arusha, Mwanza haina details kamili na za kutosha
- Watoe ajira hata za muda ( Eg mwaka u miaka miwili) kwa watu waliosoma vyuo vya mambo ya ardhi kwa watu wawili au watatu kila mkoa waingize taarifa za mitaa vijiji na barabara kwenye Google map ya tanzania.
NB.
Meya wa rio-Dejenairo brazil mara mbili kwa wiki anasema lazima aingie googlemap kutazama ramani ya jiji lake. Aliingia matatani na google pale satelite yao ilipochukua picha za eneo kama la manzese ikaacha kuchukua picha maeneo ya vivutio.
- Je kuna meya yeyoete hata huyo wa Arusha ambaye jiji lke linatgema utalii anajua umuhimu wa googlemap?
- Je wizara ya utalii inajua umuhimu wa google map katika karne hii y dot.com.
- Je wizara ya rdhi haioni ni wakati ramai ilizonazo makabatini details zae zote ziingiwe kwenye google map Nini inashindikana wakti mambo haya ni bure tu.
Hiyo ni Google map Beyond Politics part I
Soma Beyond Polict part 2- Seriali inasubiri nini kujaribu magari ya Hybrid.