Beyonce: War against Black People must Stop

Ha ha ha! Hapo naona kundi la akina dada poa tu; sidhani kama watasikilizwa hao.
 
Nyani ngabu njoo uwatetee wazungu wako wauaji huku

Haaaahaahahaha...Nyani ngabu na wenzake humu jamii wanapata taabu kwa kinachotokea Marekani...The USA is crumbling...hu ndiyo mwanzo wa mwisho wa Enzi...kwa nyakati za Roman Empire nobody ever thought Roman Empire ingesambaratika, lakini ilikuja sambaratika kiulaani na sababu mojawapo ikiwa kutokana na watumwa 'kupata haki'...USA nayo inaelekea huko, pale mfumio wa uchumi wa Marekani utaposhindwa ndipo utakapokuwa mwisho wake...The USA imeanza kuonyesha waziwazi uozo wake within, hapo ndipo system inapoonyesha dalili za kuwepo cracks...nakwambia sasa hivi CIA, FBI, Industrialists na elites hawalali, hofu imewatanda...tunaambiwa OBAMA atakatisha kwa siku moja ziara yake huko SPAIN...tusubiri tuone. mambo ni mabaya kwa USA...
 
Nigga akiwa apprehended utasikia " what did I do motherfu***r...hapo lazima mzungu akulime shaba wallah...
 
Back
Top Bottom