Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
Mwanamama Beyonce anatarajia kuweka kibindoni million 50 za kimarekani kutokana na matangazo kwa mwaka ujao.
Beyonce atafanya tangazo la pepsi kuanzia mwakani.
Kuna watu walibeza alipotoa euro million 5 kumnunulia saa jayz yenye madini ya almasi.nafikiri kuanza sasa mjue kwamba euro million 5 nipesa kidogo sana kwa beyonce.
Beyonce atafanya tangazo la pepsi kuanzia mwakani.
Kuna watu walibeza alipotoa euro million 5 kumnunulia saa jayz yenye madini ya almasi.nafikiri kuanza sasa mjue kwamba euro million 5 nipesa kidogo sana kwa beyonce.