mbona uanpindisha. wanumuogopa dk slaa, kwani waislam wengi wemeshtuka
MS hivi wewe ni Muislam kweli au unataka kuipaka matope dini hii? Wewe na wale wanaojilipua kwa Jina na Uislam una tofauti gani? Je unafikiri kwa kupandikiza chuki na kupingana na UKWELI ndio utaweza kuvutia wapiga kura au kuvutia watu waje kwenye Dini yako? Sidhani kama wewe kweli unawawakilisha waislam bali nakuona kama ni mtu unayetaka kuuchafua uislam.
UISLAM UNASIMAMIA UKWELI! Wewe Je!!