Between The Lines: Mbowe Apeleka Ujumbe Mzito kwa Wahusika wa Shambulio la Lissu

MotoKazi

JF-Expert Member
Aug 10, 2015
747
671
Nimepitia taarifa iliyotolewa na Mbowe kwa umma kuhusu maendeleo ya Lissu; Lakini ukisikiliza kwa makini utagundua kuwa Mbowe alikuwa anawasiliana na umma kwa ujumla pamoja na kupeleka ujumbe kwa watuhumiwa wa shambulio (Vyombo vya ulinzi na Usalama-kwa maelezo ya Mbowe mwenyewe).
Mambo mengi yalihusu umma ikiwa pamoja na kueleza kuwa mtuhumiwa no. moja ni vyombo vya ulinzi na usalama. Lakini hakuna mtu aliyetilia umakini kauli ya Mbowe pale aliposema " Hawa watu wanatabia ya kushambulia watu wakiona wale watu hawakuweza kuwaua kama walivyotegemea wanatabia ya kuwarudia tena kuwauwa, hiyo hofu imetukamata sana toka siku ya kwanza Dodoma"

Hisia ya kuwepo na Second attempt nilikuwa nayo ila nilisita kuandika mpaka pale niliposikia kauli hii ya Mbowe. Kauli hii imepuuzwa na umma na sijaona mjadala wowote juu ya kauli hii ila niko sure hii kauli itakuwa inawaumiza vichwa watuhumiwa na kuhisi kuwa kuna uvujaji wa taarifa au kuhofia umakini wa chadema hivyo kuendeleza mjadala jinsi ya ku-manage situation.

Kwanini kuwe na uwezekano wa shambulio la pili?
1.Tukio la shambulio la Lissu linaonekana halikuwa na baraka la vyombo vyote vya ulinzi, lilifanywa na kundi dogo ndani ya vyombo vya ulinzi hivyo kutekelezwa na watu wasio na ueledi wa kazi hizo-DAB na Zero wenzie.
Baada ya kushindwa, nafsi zinawasuta kuona hawamuwezi Lissu kwa kila kitu, watataka kurudia shambulio kudhihirisha umahiri wao...
2.Baada ya Lissu kupona wanapata tabu sana ku-manage situation huku Lissu akiwa mzima na wanahofu atakuja na nguvu zaidi hivyo kuwasumbua kwa ubora wa hali ya juu na kwa muda mrefu......Hapa kuna uwezekano wa kukusanya nguvu na mpango ukapata baraka za vyombo vyote, hivyo Second attempt ikafanyika kwa umakini mkubwa kwa kutumia Sniper nk.....
3.Pia kuna uwezekano wa kufanya second attempt kwa kutumia njia ya kuudhoofisha mwili wa Lissu taratibu au kwa haraka...........
NB:
Ni dhahiri pia shambulio hili lilipangwa kufanyika mchana ili kuogofya watanzania pia na ndiyo maana hawaku-opt njia ya kificho kama kutumia mda wa usiku au sumu nk. na yote haya yanawezekana kwasababu kuna hali ya kutojali lolote yaani liwalo na liwe ili mradi Lissu asiwepo duniani, kwani maadui wa Lissu wamegeuza hoja zake kuwa personal issue hivyo wanachuki ya moyoni na siyo issue za usaliti kama inavyotangazwa, kwa dhana hiyo nadhani unajua waliokusudia wanavuyojisikia sasa hivi, yani wako demoralized na kujiona dhaifu mno kitu ambacho hawatakikubali kuishi nacho huku wakiwa na mamlaka yote......

Kwa nini Mboe atoe hii kauli ambayo ni ujumbe wa moja kwa moja kwa wahusika?
1. Je chadema wameshanusa mpango wa shambulio la pili?
2.Je ni hisia tu na ametumia kama kuwa-prempty mipango ambayo Chadema wamehisi inaweza kutokea?

Hitimisho
Lissu amtegemee Mungu zaidi katika utawala huu,namwombea apone haraka.​
 
Hii niliiandike tarehe 10/09/2017, siku 4 baada ya shambulio la Lisu nikiwasihi wanaomhudumia huko Nairobi kuwa makini na 'second attemp'. Nadhani kwa kuwa lugha imekuja kwa meli wengi hakutaka kuijadili.

Ulinzi wa Lisu ni Muhimu: Oneni hili la Obote:
Obote alivyopona kuchomwa sindano ya sumu akiwa Mulago Hospital baada ya kujeruhiwa kwa risasi mwaka 1969:


“As the 1969 UPC delegates’ conference was winding up at Lugogo Indoor Stadium, the final plan to brutally terminate the life of President Obote had reached the lethal stage. Pull the trigger! The UPC conference that year had attracted several regional leaders because Obote was rapidly becoming a powerful figure within the region.

After seeing off presidents of Zambia, Kenya, Tanzania, Zaire and Ethiopia who had been attending the UPC delegate’s conference, Obote went back to Lugogo to resume the conference.

Shortly before 10 pm, it was time for the President to leave and so he stepped out of the hall amidst cheers and chants from the delegates and walked on. Somewhere within the vicinity, stood an armed man whose episode was set to start rolling in a bit. “……I walked out and I saw somebody aiming a gun at me. After that I don’t know what happened because I was shot at: I broke my tongue, broke my teeth, then I was taken to Mulago Hospital.” narrated Obote.

In Obote’s own account of the tragedy as he narrated to Andrew Mwenda, a Ugandan journalist who interviewed him in exile in Zambia, the attack left him nearly dead. Just after surviving the Lugogo attack, Obote was to escape yet another attempt to finish him off in cold blood at Mulago Hospital. “At Mulago a nurse nearly killed me! When I was waiting, my sister-in-law Mey, came in my room.

There was another nurse in the room. This nurse prepared an injection for me. When the nurse tried to give me the injection, Mey jumped up from her chair, got hold of the needle and both fell down, breaking the needle.” Obote recounted.

Soon, it was now time for investigations and 3 months later Mohamed Sebaduka and five others were arrested, tried and sentenced to life imprisonment for the crime.”

Wakuu wetu muwe makini, shemeji ndiye alimsaidia vinginevyo!!!
 
Nimepitia taarifa iliyotolewa na Mbowe kwa umma kuhusu maendeleo ya Lissu; Lakini ukisikiliza kwa makini utagundua kuwa Mbowe alikuwa anawasiliana na umma kwa ujumla pamoja na kupeleka ujumbe kwa watuhumiwa wa shambulio (Vyombo vya ulinzi na Usalama-kwa maelezo ya Mbowe mwenyewe).
Mambo mengi yalihusu umma ikiwa pamoja na kueleza kuwa mtuhumiwa no. moja ni vyombo vya ulinzi na usalama. Lakini hakuna mtu aliyetilia umakini kauli ya Mbowe pale aliposema " Hawa watu wanatabia ya kushambulia watu wakiona wale watu hawakuweza kuwaua kama walivyotegemea wanatabia ya kuwarudia tena kuwauwa, hiyo hofu imetukamata sana toka siku ya kwanza Dodoma"

Hisia ya kuwepo na Second attempt nilikuwa nayo ila nilisita kuandika mpaka pale niliposikia kauli hii ya Mbowe. Kauli hii imepuuzwa na umma na sijaona mjadala wowote juu ya kauli hii ila niko sure hii kauli itakuwa inawaumiza vichwa watuhumiwa na kuhisi kuwa kuna uvujaji wa taarifa au kuhofia umakini wa chadema hivyo kuendeleza mjadala jinsi ya ku-manage situation.

Kwanini kuwe na uwezekano wa shambulio la pili?
1.Tukio la shambulio la Lissu linaonekana halikuwa na baraka la vyombo vyote vya ulinzi, lilifanywa na kundi dogo ndani ya vyombo vya ulinzi hivyo kutekelezwa na watu wasio na ueledi wa kazi hizo-DAB na Zero wenzie.
Baada ya kushindwa, nafsi zinawasuta kuona hawamuwezi Lissu kwa kila kitu, watataka kurudia shambulio kudhihirisha umahiri wao...
2.Baada ya Lissu kupona wanapata tabu sana ku-manage situation huku Lissu akiwa mzima na wanahofu atakuja na nguvu zaidi hivyo kuwasumbua kwa ubora wa hali ya juu na kwa muda mrefu......Hapa kuna uwezekano wa kukusanya nguvu na mpango ukapata baraka za vyombo vyote, hivyo Second attempt ikafanyika kwa umakini mkubwa kwa kutumia Sniper nk.....
3.Pia kuna uwezekano wa kufanya second attempt kwa kutumia njia ya kuudhoofisha mwili wa Lissu taratibu au kwa haraka...........
NB:
Ni dhahiri pia shambulio hili lilipangwa kufanyika mchana ili kuogofya watanzania pia na ndiyo maana hawaku-opt njia ya kificho kama kutumia mda wa usiku au sumu nk. na yote haya yanawezekana kwasababu kuna hali ya kutojali lolote yaani liwalo na liwe ili mradi Lissu asiwepo duniani, kwani maadui wa Lissu wamegeuza hoja zake kuwa personal issue hivyo wanachuki ya moyoni na siyo issue za usaliti kama inavyotangazwa, kwa dhana hiyo nadhani unajua waliokusudia wanavuyojisikia sasa hivi, yani wako demoralized na kujiona dhaifu mno kitu ambacho hawatakikubali kuishi nacho huku wakiwa na mamlaka yote......

Kwa nini Mboe atoe hii kauli ambayo ni ujumbe wa moja kwa moja kwa wahusika?
1. Je chadema wameshanusa mpango wa shambulio la pili?
2.Je ni hisia tu na ametumia kama kuwa-prempty mipango ambayo Chadema wamehisi inaweza kutokea?

Hitimisho
Lissu amtegemee Mungu zaidi katika utawala huu,namwombea apone haraka.​

Pia aliye fyatua zile risasi huenda walisha muua.
History inaonyesha huwa anapangwa mtu tayari wakumuua.
Mfano John FK, Desire LK nk
Hivyo ukiingia mkenge ukakubali kuwa wewe ndie wa kuanza kumfyatulia mtu risasi ,utukabiliana na:
1-wenzeo watakuua
2-ukikamatwa hawahusiki
3-walivyo kuahidi hutavipata
4-wana amini wewe ni mjinga
 
Pia aliye fyatua zile risasi huenda walisha muua.
History inaonyesha huwa anapangwa mtu tayari wakumuua.
Mfano John FK, Desire LK nk
Hivyo ukiingia mkenge ukakubali kuwa wewe ndie wa kuanza kumfyatulia mtu risasi ,utukabiliana na:
1-wenzeo watakuua
2-ukikamatwa hawahusiki
3-walivyo kuahidi hutavipata
4-wana amini wewe ni mjinga
Hahahaha.....Iyo ya no. 4 mungu anawaona...
 
Pia aliye fyatua zile risasi huenda walisha muua.
History inaonyesha huwa anapangwa mtu tayari wakumuua.
Mfano John FK, Desire LK nk
Hivyo ukiingia mkenge ukakubali kuwa wewe ndie wa kuanza kumfyatulia mtu risasi ,utukabiliana na:
1-wenzeo watakuua
2-ukikamatwa hawahusiki
3-walivyo kuahidi hutavipata
4-wana amini wewe ni mjinga

thx mkuu

issues za ku eliminate loose ends, ndio napata shida mtu anapotaja kwa hakika ni fulani anahusika!!!
 
Ki ukweli tunahitaji mipango mipya na maombi maalumu kwa Lissu . Hawa wauaji lazma wanamipango ya mingine mikubwa kuhakikisha wanamwondoa. Panahitaji uangalifu mnoo
 
Back
Top Bottom